Ndoto Lyrics
Aah aah aah
Mmmh mmmh
Nahodha boti inazama
Bahari haina pa kushikia
Kina kirefu nitazama
Nawe ndo msaada unanikimbia
Bahari, kwa jua ina miti
Mfano ni makonde va ndingu mahala mpaka ulaya
Mfano ni makonde va ndingu mahala mpaka ulaya
Ndoto za usiku zanitoka mwenzio
Aii mama
Na sabuni ndo kimbilio
Usiku na mchana
Ndoto za usiku zanitoka mwenzio
Aii mama
Na sabuni ndo kimbilio
Usiku na mchana
This is how, how I feel
Ingawaje unanionaga chizi
This is how, how I feel
Chizi kama ndizi
This is how, how I feel
Ingawaje unanionaga chizi
This is how, how I feel
Chizi kama ndizi
Nitaishi na wewe
I swear sitamuona yeyote
Ingawaje ukiondoka utaniacha kilio tupu
Usiku na mchana aaah
Mihogo karanga ndo ngingingi
Na kwenye boxer ndo ndindindi
Chemu chemu mabonde vigingingi
Kuja kwa maji ndo mawimbi
Ai wewe naumia sana aah
Mwenyewe najua unaona
Ndoto za usiku zanitoka mwenzio
Aii mama
Na sabuni ndo kimbilio
Usiku na mchana
Ndoto za usiku zanitoka mwenzio
Aii mama
Na sabuni ndo kimbilio
Usiku na mchana
This is how, how I feel
Ingawaje unanionaga chizi
This is how, how I feel
Chizi kama ndizi
This is how, how I feel
Ingawaje unanionaga chizi
This is how, how I feel
Chizi kama ndizi
Aiii oooh
Chizi kama ndizi
Unanionaga chizi chizi
Ah we wewee, aii ooh dada
Chizi kama ndizi
Chizi kama ndizi
Mwenzio oooh, aaah eeeh..
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Ndoto (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
HAMIS BSS
Tanzania
Hamis Bss is a singer/guitarist from Tanzania. He was among the participants at Bongo ...
YOU MAY ALSO LIKE