Home Search Countries Albums

Ndoto

HAMIS BSS

Ndoto Lyrics


Aah aah aah
Mmmh mmmh

Nahodha boti inazama
Bahari haina pa kushikia
Kina kirefu nitazama
Nawe ndo msaada unanikimbia

Bahari, kwa jua ina miti
Mfano ni makonde va ndingu mahala mpaka ulaya
Mfano ni makonde va ndingu mahala mpaka ulaya

Ndoto za usiku zanitoka mwenzio
Aii mama
Na sabuni ndo kimbilio
Usiku na mchana

Ndoto za usiku zanitoka mwenzio
Aii mama
Na sabuni ndo kimbilio
Usiku na mchana

This is how, how I feel
Ingawaje unanionaga chizi
This is how, how I feel
Chizi kama ndizi

This is how, how I feel
Ingawaje unanionaga chizi
This is how, how I feel
Chizi kama ndizi

Nitaishi na wewe 
I swear sitamuona yeyote
Ingawaje ukiondoka utaniacha kilio tupu
Usiku na mchana aaah

Mihogo karanga ndo ngingingi
Na kwenye boxer ndo ndindindi
Chemu chemu mabonde vigingingi
Kuja kwa maji ndo mawimbi

Ai wewe naumia sana aah
Mwenyewe najua unaona

Ndoto za usiku zanitoka mwenzio
Aii mama
Na sabuni ndo kimbilio
Usiku na mchana

Ndoto za usiku zanitoka mwenzio
Aii mama
Na sabuni ndo kimbilio
Usiku na mchana

This is how, how I feel
Ingawaje unanionaga chizi
This is how, how I feel
Chizi kama ndizi

This is how, how I feel
Ingawaje unanionaga chizi
This is how, how I feel
Chizi kama ndizi

Aiii oooh 
Chizi kama ndizi
Unanionaga chizi chizi
Ah we wewee, aii ooh dada

Chizi kama ndizi
Chizi kama ndizi
Mwenzio oooh, aaah eeeh..

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Ndoto (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HAMIS BSS

Tanzania

Hamis Bss is a singer/guitarist from Tanzania. He was among the participants at Bongo ...

YOU MAY ALSO LIKE