Home Search Countries Albums

Yatima

KHAN SILLAH

Yatima Lyrics


Ni asubuhi tena jua limechomoza
Namshukuru Mola 
Sina dhamani tena, kila kona kusemwa 
Kisa sina baba na mama

Ndo ninyanyaswe
Wanadamu wamenirunda
Kama nguo chafu
Tena nyeupe ilo jaa masizi

Ata jina limebadilika
Naitwa chokora
Huwezi amini, huwezi amini

Jua langu, mvua yangu
Shida zangu, azitue nani?
Jua langu, mvua yangu
Shida zangu, azitue nani?

Yatima mie, iyee eh eh eh
Naumia mie, iyee eh eh eh
Yatima mie, iyee eh eh eh
Acha nilie, iyee eh eh eh

Najua angekuwepo baba na mama
Nisingeteseka
Nami ningekuwa sawa nao hao
Hata ndugu hawanitaki
Mimi wakwara mabaki iyee iyee

Kula kwangu niokote vyuma
Nioshe vyombo kwa mama nitilie 
Kula kwangu niokote vyuma
Nioshe vyombo kwa mama nitilie 

Jua langu, mvua yangu
Shida zangu, azitue nani?
Jua langu, mvua yangu
Shida zangu, azitue nani?

Yatima mie, iyee eh eh eh
Naumia mie, iyee eh eh eh
Yatima mie, iyee eh eh eh
Acha nilie, iyee eh eh eh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Yatima (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KHAN SILLAH

Tanzania

Khan Sillah is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE