Itakuaje Lyrics

Kichwa kimeisha RAM
GB zimekata kabisa
Ah kinywa hakijui vitamu
Hio rhumba naopna chakacha, no no
Sijaumbwa kuishi kwa ubaya, no no no
Hiari ni ya kupita nitapona mmmh
Moyo umeniganda ruba, no no no
Hiari ni ya kupita mtajaniona
Na ndo maana ninafosi daily
Ah mambo yawe bomba nisiwe panya rodi
Kunywa mitungi daily
Ah sina pa kulala nimefukuzwa kodi
Na ndo maana ninafosi daily
Mambo yawe bomba nisiwe panya rodi
Kunywa mitungi daily
Ah sina pa kulala nimefukuzwa kodi
Nauliza itakuaje?
Naumwa nyang'anyang'a hamjaja kuniona
Itakuaje?
Kama nikifa kesho kaburi mtaliona?
Nauliza itakuaje?
Nitapo umwa nyang'anyang'a mtakuja kuniona
Eh itakuaje?
Kama nikifa kesho kaburi mtaliona?
Mwenzenu naumwa
Na jana sijalala
Naliona nafanya maigizo
Kuwaka kwa mshumaa
Na jua likizama
Yanapanda yangu mapigo
Ata barua kunitumia
Ama kipande cha panadol
Mmeniacha kitandani najisaidia
Nitapona ado ado
Ndungu na marafiki wote mmenikimbia
Mi nalia kama mtoto
Shukurani zangu sana, Mama Amina
Mumeo na wako watoto
Ya Rabana Kalima
Hawana maana wanadama
Ya Rabana Kalima
Hawana maana wanadama
Na ndo maana ninafosi daily
Mambo yawe bomba nisiwe panya rodi
Kunywa mitungi daily
Ah sina pa kulala nimefukuzwa kodi
Na ndo maana ninafosi daily
Mambo yawe bomba nisiwe panya rodi
Kunywa mitungi daily
Ah sina pa kulala nimefukuzwa kodi
Nauliza itakuaje?
Naumwa nyang'anyang'a hamjaja kuniona
Itakuaje?
Kama nikifa kesho kaburi mtaliona?
Nauliza itakuaje?
Nitapo umwa nyang'anyang'a mtakuja kuniona
Eh itakuaje?
Kama nikifa kesho kaburi mtaliona?
Ooh Momba momba aah
Itakuwaje....
Mtakuja kuniona??
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Itakuaje (Album)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
HAMIS BSS
Tanzania
Hamis Bss is a singer/guitarist from Tanzania. He was among the participants at Bongo ...
YOU MAY ALSO LIKE