Home Search Countries Albums

Dakika Moja

RUBY

Dakika Moja Lyrics


 

Oooh oooh
Hey yeiii yeah

Sukari imegeuka chumvi
Aka amegeuka chui
Matope yamekuwanga vumbi
Maziwa yamegeuka tui

Upendo na baba ni kwa zamani
Siku hizi kufa kufaana 
Upendo hauna dhamani, hey

Upendo na mama mama ni kwa zamani
Siku hizi kufa kufaana
Upendo hauna dhamani

Dunia ina raha yake iyee
Na mabaya yamo humo
Na visanga vyake iyee
Na mabaya yamo humo

Dunia ina raha yake iyee
Na mabaya yamo humo
Na visanga vyake iyee
Na mabaya yamo humo

Ukifika nenda mwambie
Dakika moja tu
Mimi nataka niongee naye 
Dakika moja tu

Akichelewa nitasubiri
Nitangoja tu
Ila nataka niongee naye
Dakika moja tu

Aaaah....

Naona kama me nachomwa na jua
Usiku mkali, na maradhi naugua
Unanichanganya, navyo sema  nazingua
Kisasi na salary, me nawaza nawazua

Aaah, si ulikubali, kwa kila hali baba
Leo mwisho wa safari, unarudi nyuma baba
Si ulikubali, kwa kila hali baba
Leo mwisho wa safari, unarudi nyuma baba

Hee
Dunia ina raha yake iyee
Na mabaya yamo humo
Na visanga vyake 
Na mabaya yamo humo

Dunia ina maajabu yake 
Na mabaya yamo humo
Na visanga vyake iyee
Na mabaya yamo humo

Ukifika nenda mwambie
Dakika moja tu
Mimi nataka niongee naye 
Dakika moja tu

Akichelewa nitasubiri
Nitangoja tu
Ila nataka niongee naye
Dakika moja tu

Mwambie azibe nyufa
Akichelewa nitakufa

Hey
Sawa sawa, sawa sawa
Sawa sawa, sawa sawa
Sawa sawa, sawa sawa
Sawa sawa, sawa sawa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Dakika Moja (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RUBY

Tanzania

Ruby real name Hellen Majeshi is a Tanzanian Musician and a beauty queen. She is popularly known for ...

YOU MAY ALSO LIKE