Home Search Countries Albums

Iweje

HAMIS BSS

Iweje Lyrics


Hivi unayofanya huyaoni au makusudi
Naishi roho mkononi nusu mauti
Dhima ya upendo ni wewe
Woi leo umebadilika 

Umeliacha pengo sio siri
Hohehahe sina pa kushika
Wa kukunia mbuzi kidaka
Wenzangu wasosomole
Utanipenda vipi viraka
Sina za ofa nikutoe

Kwanza ulinidanganya picha 
Nikajiona nimefika, nilichizika balaa
Sura wapi nitaificha 
Aibu kujianika, nazikwa mzima mzima

Iweje, umenipalia moto naungua
Iweje, hauna huruma hata kidogo
Iweje, iweje iweje leo umeniacha mie
Iweje, wowowo uwooo hee

Labda nikifa utakuja kwenye msiba
Kuomboleza
Lanichoma choma penzi mwiba
Bora kujiongeza nitembee

Yako wapi, yako wapi?
Kiko wapi, kiko wapi?
Ule upendo uko wapi?

Kwanza ulinidanganya picha 
Nikajiona nimefika, nilichizika balaa
Sura wapi nitaificha 
Aibu kujianika, nazikwa mzima mzima

Iweje, umenipalia moto naungua
Iweje, hauna huruma hata kidogo
Iweje, iweje iweje leo umeniacha mie
Iweje, wowowo uwooo hee

Kwanza ulinidanganya picha 
Nikajiona nimefika, nilichizika balaa
Sura wapi nitaificha 
Aibu kujianika, nazikwa mzima mzima

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Iweje (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HAMIS BSS

Tanzania

Hamis Bss is a singer/guitarist from Tanzania. He was among the participants at Bongo ...

YOU MAY ALSO LIKE