Home Search Countries Albums
Read en Translation

Nangoja Lyrics


Siachi

Nitasubiri ahadi zako ooh

Ninautambua

Upendo wako

Juu ya maisha yangu

Ninazitambua

Fadhili zako

Za mchana na usiku

Hata kwa hili ninalilopitia

Imani yangu

Ni kwamba litakwisha

Nitalizunguka rohoni siku sita

Kama yeriko

Yasaba litaanguka

Sichoki kukungojea

Najua mawazo mema waniwazia

Siachi kuvumilia

Nitasubiri ahadi zako kutimia

Imani yangu iko kwako, we (ah ah ah ah)

We haushindwi (ah ah ah ah)

Nakuamini (nitangoja utende)

Auchelewi wala auwahi (ah ah ah ah)

Ooh bwana (ah ah ah ah)

Mimi nitangoja

Nitangoja utende (ooh ooe)

Chezaa kompaaa

Eeh kila jambo na wakati wake

Najua na mimi wakati wangu upo

Yesu wangu hawezi niacha

Atasimama na mimi ee (ouwo uuu)

Japo nimesikia (nimesikia)

Maneno mayonenewa (maneno mayonenewa )

Yakunizuia kunikatisha tamaa

Nianguke mimi nitalishika lile uliloniambia

Maana neon lako ni hakika

Utafanya ah ah ah

Sichoki kukungojea

Najua mawazo mema waniwazia

Siachi kuvumilia (nitasubiri)

Nitasubiri ahadi zako kutimia

Mimi nakuamini (ah ah ah ah)

Nakuamini (ah ah ah ah)

Hakuna gumu kwako (nitangoja utende)

Subira yangu nitaiweka kwako (ah ah ah ah)

Nitasubiri majira yako (nitangoja utende)

Chezaa kompaaa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Copyright : ©2024 Mathias Walichupa. All rights reserved


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

MATHIAS WALICHUPA

Tanzania

Mathias Walichupa is a gospel artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE