Home Search Countries Albums

Baby

RAYVANNY Feat. ROWLENE

Read en Translation

Baby Lyrics


Mwanzo nilijua upo msalani
Kama sio uko utakuwa nyumba ya jirani
Nikapiga simu yako haipatikani
Ndio unapokea sa' hivi mummy
Upo sehemu gani

Hata kama sijajibu naomba Samahani
Ile njaa ya tumboni imepanda mpaka kichwani
Sijakuaga ila jua ndio nipo njiani
Ningependa niwe na wewe, ila uko utumwani
Ningependa niwe na wewe, ila uko utumwani

Inamaana umechoka sa mbona ni mapema
Hizo shida zimechosha ntazeeka mapema

Ni kweli ndani kuna masufuria
Chakula hakuna, nini nitakupikia
Na Kama tukipika basi bamia
Kutwa nzima na njaa kama ngamia

Nguzo ya upendo kusubiria
Kwa nini unashindwa nivumilia
Na mimi mbona ninakupigania
Mummy rudi nyumbani, Mola atajalia

Aaah siwezi, kwa nini?
Sirudi, sababu gani?
Siwezi, aaah
Sirudi

Nguo zangu zilivyochoka kama tambala ya deki
Zimetoboka unaweza kusema net
Huishi madeni, dukani kwa mangi mpaka bank
Na ukirudi nyumbani, mfukoni huna cent

Anapanga mola, kupata kukosa ridhiki
Akinipa nashukuru na kama nikikosa sibishi
Kwenye swala la mapenzi, mali si kitu iyoo
Kwenye mapenzi, moyo kioa kitu iyoo

Inamaana umechoka sa mbona ni mapema
Hizo shida zimechosha ntazeeka mapema

Ni kweli ndani kuna masufuria
Chakula hakuna, nini nitakupikia
Na Kama tukipika basi bamia
Kutwa nzima na njaa kama ngamia

Nguzo ya upendo kusubiria
Kwa nini unashindwa nivumilia
Na mimi mbona ninakupigania
Mummy rudi nyumbani, Mola atajalia

Aaah siwezi, kwa nini?
Sirudi, sababu gani?
Siwezi, aaah
Sirudi

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Sound from Africa (Album)


Copyright : (c) 2021 WCB Wasafi.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RAYVANNY

Tanzania

Raymond Shaban Mwakyusa (born 22 August 1993), better known by his stage name Rayvanny, is a Tanzani ...

YOU MAY ALSO LIKE