Home Search Countries Albums

Chawa Lyrics


Tumbo lasokota njaa inauma
Chakula kipi eti
Najitahidi nikutoe mawazoni mwangu
Nikusahau

Yarabi nafsi yangu juu yako
Haiambiliki
Nishajaribu na mbuli ya kukonda
Kau kau

Nife wanizike, ila kwambiwa nikwache wewe 
Ni sawa na kutwanga 
Maji kwenye kinu
Nimeridhia mimi mwenyewe
Ata nikuone mara moja kwa msimu

Kweli nasema nakupenda mama wewe
Kweli nahema ila mapigo ya moyo
Checheme checheme

Chawa chawa
Mi kwako chawa niburuze unavyotaka
Chawa, shufa la mbatata

Chawa chawa
Mi kwako chawa nipeleke unavyotaka
Chawa, shufa la mbatata

Ujishtukie
Ukipata visafari vyako vya usiku 
Nimekurusu nenda
Wala usiwaze
Eti mpaka unipeti kwa mabusu
Aah sijali nenda
Ni kweli lauma ila nitazoea
Mi kwako kolombwe puzi lako laninogea mimi

Nife wanizike, ila kwambiwa nikwache wewe 
Ni sawa na kutwanga 
Maji kwenye kinu
Nimeridhia mimi mwenyewe
Ata nikuone mara moja kwa msimu

Kweli nasema nakupenda mama wewe
Kweli nahema ila mapigo ya moyo
Checheme checheme

Chawa chawa
Mi kwako chawa niburuze unavyotaka
Chawa, shufa la mbatata

Chawa chawa
Mi kwako chawa nipeleke unavyotaka
Chawa, shufa la mbatata

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Chawa (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HAMADAI

Tanzania

Hamadai is an artist from Tanzania a member of The Mafik . ...

YOU MAY ALSO LIKE