Home Search Countries Albums

Mchuchu

HAMADAI Feat. ASLAY

Mchuchu Lyrics


Mbimbirisa furushi bombakia
Mtoto kaumbika kinoma kama ni rupia
Akitembea (Ni shida), kajazia
Kote nimeruka ruka kwake tunduni nimeingia

Namwitaga dede (Dede)
Anapendaga hilo jina
Hataki zeze zeze
Miziki yake Georgina

Inye gwede gwede (Gwede)
Mpaka jalobina
Hataki zeze zeze

Tamba mchuchu (Ayeye)
Tamba tutoke (Ayee)
Tamba mchuchu (Ayeye)
Aaaah (Ayee)

Tamba mchuchu (Ayeye)
Tamba tutoke (Ayee)
Tamba mama (Ayeye)
Aaaah eh eh(Ayee)

Mama mama mama mama..
Aki utaua, utaua utajuta kukujua
Kajuta ukijali kukimbia
Utaukata utaufunua (Moyo wangu)

Uzuri asali ni nyuki ooh
Kalamba lamba
Yaani mkwepa mikuki ooh
Mjanja mjanja

Usilichezee penzi kamari beiby
Kamari kamari, iyee
Usijelinyonga penzi sadari beiby
Sadari sadari, iyee

Mtoto kuku nusu, mtoto chuku chuku
Mtoto nyanya tupu masala
Akipita huku mi napita huku
Yaani panya buku Mbaghala

(Beiby tamba)

Tamba mchuchu (Ayeye)
Tamba tutoke (Ayee)
Tamba mchuchu (Ayeye)
Aaaah (Ayee)

Tamba mchuchu (Ayeye)
Tamba tutoke (Ayee)
Tamba mama (Ayeye)
Baby tamba (Ayee)

Mtoto kuku nusu, mtoto chuku chuku
Mtoto nyanya tupu masala
Akipita huku mi napita huku
Yaani panya buku Mbaghala

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Mchuchu


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HAMADAI

Tanzania

Hamadai is an artist from Tanzania a member of The Mafik . ...

YOU MAY ALSO LIKE