Home Search Countries Albums

Tukatiane

HAMADAI

Tukatiane Lyrics


Habiti, ai sweety
Jina gani unapenda wewe? Ai wewe
Wapi tufanye kwichi kwichi
Chumbani ama kwenye miti miti?

Nakusikiza wewe, yaani wewe
Watembea na roho yangu 
Mimi nimebaki kivuli tu
Wanyaku wambie wametoka kapa

Ah penzi umelitia pingu
Umeongeza na kufuli huku
Hadi utakapo mwenyewe 
Ndo mambo swadakta

My beiby nikatie(Sawaa)
Nikukatie (Sawaa)
Tukatiane(Sawa sawa)
Aah aah

Kachori nikatie(Sawaa)
Kababii nikukatie (Sawaa)
Sisi tukatiane eh eh(Sawa sawa)
Aah aah

Aii nikatie(Sawaa)
Nikatie (Sawaa)
Tukatiane(Sawa sawa)
Ayayaya....

Nitakufuata fuata kwa vipochi pochi
Manoti noti, wakatae
Wakikukosa kwa chenga watakupiga dochi
Wamalize mechi, usizubae

Unastahili
Nikupatie japo shoti mbili
Ulewe, ulewe

Mtaani saga kachiri 
Na mimi nipate japo viwili
Nilewe, nilewe

My beiby nikatie(Sawaa)
Nikukatie (Sawaa)
Tukatiane(Sawa sawa)
Aah aah

Kachori nikatie(Sawaa)
Kababii nikukatie (Sawaa)
Sisi tukatiane eh eh(Sawa sawa)
Aah aah

Aii nikatie(Sawaa)
Nikatie (Sawaa)
Tukatiane(Sawa sawa)
Ayayaya....

Usinivunje mwenzio(Sawaa)
Usinionee mwenzio(Sawaa)

Tunda la mti kati(Sawaa)
Kula lote lisibaki(Sawaa)
Beiby wa wasiwasi 
Umeutoa wapi?

Achana na pipi basi(Sawaa)
Utamu wa ndizi karoti(Sawaa)
Si nimeleta koni
Umeificha wapi?

Sawaa, sawaa, sawa sawa 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Tukatiane (Single)


Copyright : (c) 2019 Kwetu Studios


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HAMADAI

Tanzania

Hamadai is an artist from Tanzania a member of The Mafik . ...

YOU MAY ALSO LIKE