Home Search Countries Albums

Ko

EXRAY Feat. TRIO MIO, SESKA

Ko Lyrics


Sipendi kubebwa wana
We utankatsia ukianza za umama
Mi hukuwa mpole but naeza kuwa mnyama
Naeza kuzima kileft kiright

Ulinichocha we ni heavy weight (Ona ume KO)
We ni champe huwezi zima (Sa mbona ume KO)
Hizi vitu piga everyday (Kamoja ume KO)
Ona sasa umezima (Saa moja ume KO)

Ulinichocha we ni heavy weight (Ona ume KO)
We ni champe huwezi zima (Sa mbona ume KO)
Hizi vitu piga everyday (Kamoja ume KO)
Ona sasa umezima (Saa moja ume KO)

Oya pass kindukulu, pedi ni wephukulu
Naririma mdagi chini ya maji niko mwikhulu
Mbosho na salasa, jaba rubber na katululu
Mteja hapatikani anamedi ako sululu

Matire na ni zile zinalipuka ka baruti
Dakika kumi futi sita ndani ya kaburi
Santuri Saida Karoli, shuksha nipe calories
Nyi mnachoma nyaru managu zangu ni brocolli

Shukisha, shukisha mdogo
Funika kisogo alafu tingisha msondo
Tuliza, tuliza mdogo 
Puliza kikoro alafu rudisha mkono

Leo huskii niko madawa wawa
Niko fly niko mabawa wa
Sitaki hio yako umegawa wa
Nataka ile mpya niskie wa wa wa

Asalala after umekiwasha ushalala
Leo siko Maziwa niko Malaaa
Unaeza nionea uone balaa
Oh, oka kamnyweso
Leta zote zote oka kamnyweso
Napiga mpaka zig zag oka kamnyweso
Niko kwote kwote oka kamnyweso
Nafinya mpaka rewind 

Ulinichocha we ni heavy weight (Ona ume KO)
We ni champe huwezi zima (Sa mbona ume KO)
Hizi vitu piga everyday (Kamoja ume KO)
Ona sasa umezima (Saa moja ume KO)

Ulinichocha we ni heavy weight (Ona ume KO)
We ni champe huwezi zima (Sa mbona ume KO)
Hizi vitu piga everyday (Kamoja ume KO)
Ona sasa umezima (Saa moja ume KO)

Light weight wa makali
Heavy weight wa mabangi
Light weight wa majani
Heavy weight wa macombi

Sikudishi nyama nilisosi sosi
Na mi ndo nilikata kuliko kikosi
Unableki aje faster kuliko hawa madem
Nasare madre mi sidai kuwa dead
Mi si member gang nareform aref
Ukipata form enda solo usinicall again

Ulinichocha we ni heavy weight (Ona ume KO)
We ni champe huwezi zima (Sa mbona ume KO)
Hizi vitu piga everyday (Kamoja ume KO)
Ona sasa umezima (Saa moja ume KO)

Ulinichocha we ni heavy weight (Ona ume KO)
We ni champe huwezi zima (Sa mbona ume KO)
Hizi vitu piga everyday (Kamoja ume KO)
Ona sasa umezima (Saa moja ume KO)

(It's Byron baby)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Movement Vol. 1 (Album)


Copyright : (c) 2021 Black Market Records


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

EXRAY

Kenya

Exray aka X Ray or Taniua real name Tony Kinyanjui is an artist from Kenya. A member of th ...

YOU MAY ALSO LIKE