Home Search Countries Albums

Nitalewa

MADINI CLASSIC

Nitalewa Lyrics


Nachojua mapenzi sio rangi ya kinyonga
Haibadiliki
Mapenzi majira saa ya ukutani 
Ukishaelewa ndo basi

Na wakati mwingine usishangae
Mbona haikwendagi sawa sawa
Unayempenda anapenda asiyempenda sawa
Hata duniani hakuna aliyekamilika
So moyo wangu tulia eeh
Usione unaonewa 
So moyo wangu tulia eeh

Niliyempenda nikampa vyote
Nikamdhamini tena nikamwacha akaenda
Ama ni nyota ya kupenda sina

Basi wacha nilewe, mi nitalewa
Nitalewa nitazima, mi nitalewa
Kama mapenzi yamenilemea
Haya haya haya, haya haya

Mola nipe ujasiri angalau nipate wa kunistiri
Am so broken ila hadharani nitajifosi kucheka
Nisionekane mnyonge

Mwili unapanda joto hakuna wa kunikoza
Nabaki nalia kama mtoto machozi hakuna wa kunifuta
Na usidharau chumvi asubuhi 
Na nahitaji lako kwa chai sukari
Ndivyo alivyonichukulia mwisho wa siku akanitema tema
Kama tango tango, sikumnyima nilimpa tango
For real love is so wicked, wicked love so wicked

Niliyempenda nikampa vyote
Nikamdhamini tena nikamwacha akaenda
Ama ni nyota ya kupenda sina

Basi wacha nilewe, mi nitalewa
Nitalewa nitazima yeah, mi nitalewa
Kama mapenzi yamenilemea, mi nitalewa
Nitalewa nitazima yeah, mi nitalewa

Kama mapenzi yamenilemea, mi nitalewa
Nitalewa nitazima aaaah
Kama mapenzi yamenilemea, mi nitalewa
Nitalewa nitazima mimi mimi

Kama mapenzi yamenilemea..

Nitalewa, nitalewa
Nitalewa, nitalewa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Nitalewa (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MADINI CLASSIC

Kenya

Madini Classic is an artist/singer/Songwriter from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE