Kilami Lyrics

Nikibonga tu kilami mi nachafua
Yule mkoba ni mshamba nambafua
Siwezi rudia kunyonga na makongiza
Siwezi rudi ya kunyonga makongiza
Kilami kilami
Nina ndae mbona utembee kwa lami
Kilami, kilami
Kula yote nikuadisie maganji
Kilami kilami
Form zangu ni mahenny si majani
Kilami, kilami
Zikishika tunadance tu kilami
Nimemcheki toka mbali amenibebea
Dem kistero kumchorea
Ana hips tako pandisia
Mi nataka kumpandia
Nataka kuzitoa kwenye sindiria
Nataka hii chuma kumsindilia
Napendaga akiwa kwenye kamirina
Drip drip cheki venye nimevalia
Huwezi cheka ka haujui kulia
Huwezi kuwa dere ka hujai kuwa abiria
Chai sio tamu ka si ya birika
Mtoto wa kanisa akija kwangu haribika
Ka wajua siri yangu chorea
Niko tembe na sijai kosea
Ka si mtaro mwaga hio mbolea
Ka si mtaro utamu we kolea
Kilami kilami
Nina ndae mbona utembee kwa lami
Kilami, kilami
Kula yote nikuadisie maganji
Kilami kilami
Form zangu ni mahenny si majani
Kilami, kilami
Zikishika tunadance tu kilami
Kanungo, kanungo, kanungo
Kanungo eteko
Kanungo, kanungo, kanungo
Kanungo eteko
Sauti ya mapenzi inataka headphones
Na we inakaa una hormones
Leo flow iko hapa ni common
Na leo smell inanuka roll on
Hapa msupa hatutakagi pothole
Na leo nakupamba nina cotton
Nyama choma chemsha bongo
Na leo nitakuchomoa uharibu chongo
Do you know me? Do I know you?
Do we know we?
Get out of here men sht am saying
Get out of here dem yako hanipei
Ah unakera, ah na dem wa Kisumu si unapewa
Hii si fair niachie ikuwe pair
Truth or dare kuwa ka mrare
Hukuwagi rare ng'ango jaber
Kilami kilami
Nina ndae mbona utembee kwa lami
Kilami, kilami
Kula yote nikuadisie maganji
Kilami kilami
Form zangu ni mahenny si majani
Kilami, kilami
Zikishika tunadance tu kilami
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Kilami (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
EXRAY
Kenya
Exray aka X Ray or Taniua real name Tony Kinyanjui is an artist from Kenya. A member of th ...
YOU MAY ALSO LIKE