Home Search Countries Albums

Baba Yangu

CHRISTINA SHUSHO

Baba Yangu Lyrics


Eeh Baba yangu
Baba yangu, Mungu wangu
Nakupenda, nakupenda
Eeh Baba yangu
Baba yangu, Mungu wangu
Nakupenda, nakupenda

Umeniokoa, baba yangu
Umenisamehe dhambi, Mungu wangu
Kweli nakupenda, nakupenda

Nikitazama dunia jinsi ulivyoiumba
Nikitazama milima jinsi ulivyoiweka
Nikitazama bahari jinsi ulivyoiweka

Wanyama milimani, samaki baharini
Na ndege wa angani umenipa mi nitawale
Wanyama milimani, samaki baharini
Na ndege wa angani umenipa mi nitawale 

Kweli Mungu we ni mwema sana
Halleluyah

Tangu uumbaji Bwana kanifikiria mema
Pale aliponiumba kwa mfano wake yeye
Tangu uumbaji Bwana kanifikiria mema
Pale aliponiumba kwa mfano wake yeye

Nizitawale vitu vyote, kwa dunia hii
Kanipa na mamlaka -- 
Nizitawale vitu vyote, kwa dunia hii
Kanipa na mamlaka -- 

Nimwelezeje Mungu wangu
Enyi mataifa mnisikie 
Nimwelezeje Mungu wangu
Kweli Bwana nakushukuru 
Nimweleze muumba wangu eeh eeh 

Baba yangu, Mungu wangu
Nakupenda, nakupenda
Eeh Baba yangu
Baba yangu, Mungu wangu
Nakupenda, nakupenda

Baba yangu, Mungu wangu
Nakupenda, nakupenda
Eeh Baba yangu
Baba yangu, Mungu wangu
Nakupenda, nakupenda

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Kitu Gani (Album)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

CHRISTINA SHUSHO

Tanzania

Christina Shusho is a Gospel  artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE