Home Search Countries Albums

Raha Lyrics


Naona fahari kukuabudu
Fahari kukuabudu
Nasikia vizuri kuwa wako
Vizuri kuwa wako

Naona fahari kukuabudu
Ni fahari kukuabudu
Nasikia vizuri kuwa wako
Eeh Yesu vizuri kuwa wako
Naona fahari kutembea nawe
Eeh nitembee nawe 

Naona fahari kukuabudu
Fahari kukuabudu
Nasikia vizuri kuwa wako
Vizuri kuwa wako

Naona raha nikuimbie
Naona raha nikuchezee
Naona raha nikuinue

Ni fahari kuwa nawe eeh
Naona raha nikuchezee
Asubuhi, mchana, jioni majira yote
Yesu wee, naona raha nikuchezee

Naona vizuri nishike mkono
Nishike mkono Yesu nitembee nawe
Naona vizuri nishike mkono
Nishike mkono Yesu nitembee nawe

Naona fahari kukuabudu
Fahari kukuabudu
Nasikia vizuri kuwa wako
Vizuri kuwa wako

Jinsi ulivyonipenda
Msalabani ukanifia
Aibu ukanivua
Mizigo ukanitua

Na machozi ukanifuta Yesu
Nasikia vizuri kwako
Naona fahari kutembea nawe
Naona raha kuitwa wako

Naona fahari kukuabudu
Fahari kukuabudu
Nasikia vizuri kuwa wako
Vizuri kuwa wako

Raha raha
Naona raha, furaha
Raha raha
Naona raha, furaha

Naona fahari kukuabudu
Fahari kukuabudu
Nasikia vizuri kuwa wako
Vizuri kuwa wako

Raha raha
Naona raha, furaha
Raha raha
Naona raha, furaha

Raha raha
Naona raha, furaha
Raha raha
Naona raha, furaha

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Raha


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

CHRISTINA SHUSHO

Tanzania

Christina Shusho is a Gospel  artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE