Home Search Countries Albums

Mfamaji

CALVIN JOHN

Mfamaji Lyrics


Oooh ulionyesha mwangaza 
Nilipokuwa kwenye giza
Sikuweza kuona macho yangu yalifunga
Nilitapa tapa kama mfa maji

Ukanifungua macho, ukanifungua moyo
Ukanionyesha yaliyo nizunguka
Kwamba kumbe nina maadui
Nina marafiki wengine wazuri
Na wengine wanafiki

Kilicho chema nitameza
Kilichokibaya nitatema
Umenionyesha eeh..

Umenifungua, macho
Sasa naona, naona
Umenifungua, macho
Sasa naona, naona

Sasa naona, naona
Mazuri mabaya yote, naona

Nikitazama kwa macho ya mwilini
Kuona sioni masikini
Mungu nifungue macho ya rohoni
Nione rafiki wa kweli

Shida yangu aibebe kama ya kwake
Kwenye raha taabu na madhaifu yote
Anifaae kwa dhiki huyo ndiye rafiki
Tena si wa kuhisi ni rafiki halisi

Asiye nikatia tamaa
Tena asiyenirudisha nyuma

Umenifungua, macho
Sasa naona, naona
Umenifungua, macho
Sasa naona, naona

Sasa naona, naona
Mazuri mabaya yote, naona
Sasa naona, naona
Sasa naona, naona

Hakuna siri iliyojificha
Sasa naona 
Hakuna siri chini ya jua

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Mfamaji (Single)


Copyright : (c) 2020 Agripa Music.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

CALVIN JOHN

Tanzania

Calvin John is a Gospel Singer from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE