Home Search Countries Albums

Sambaloketo

JAY MELODY

Sambaloketo Lyrics


Oh lala... (Mr LG)
Oh ananipa changamoto kila muda namuwazia 
Hadi nakua ka mtoto navyopelekwa nakwambia 
Penzi Lina nchanganya sweet anawasha moto
Iko kipigo mkong'oto punguza Kasi naumia 

Ah ah! Oh ma baby nzela oh nzela wa njenje (Njenje)
Nipe akapela ya utamu wa embe mbe (Embe)
Oh ma baby nzela yoh nzela wa Zoro (Zoro)
Nipe akapela uponye huu moyo eya aaah
    
Samba loketo, sambaloketo
Samba loketo, sambaloketo

Kaniminya kaniminya 
Kanibana kanchota mzima
Kichwani najaa mawenge Ana uchezesha mtima 
Mwenzako napenda vibaya 

Sijakupenda bahati mbaya
Nadata nakoma na haya 
Unanifanya kitu mbaya yayayah

Oh ma baby nzela oh nzela wa njenje nje (Njenje)
Nipe akapela ya utamu wa embe mbe (Embe)
Oh ma baby nzela yoh nzela wa Zoro (Zoro)
Nipe akapela uponye huu moyo Eyaa ah 

Samba loketo, sambaloketo
Samba loketo, sambaloketo

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Sambaloketo (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JAY MELODY

Tanzania

  Jay Melody is the young talented afrikan boy raised in the slams of Tandale kwa Mtogole he ...

YOU MAY ALSO LIKE