Sambaloketo Lyrics

Oh lala... (Mr LG)
Oh ananipa changamoto kila muda namuwazia
Hadi nakua ka mtoto navyopelekwa nakwambia
Penzi Lina nchanganya sweet anawasha moto
Iko kipigo mkong'oto punguza Kasi naumia
Ah ah! Oh ma baby nzela oh nzela wa njenje (Njenje)
Nipe akapela ya utamu wa embe mbe (Embe)
Oh ma baby nzela yoh nzela wa Zoro (Zoro)
Nipe akapela uponye huu moyo eya aaah
Samba loketo, sambaloketo
Samba loketo, sambaloketo
Kaniminya kaniminya
Kanibana kanchota mzima
Kichwani najaa mawenge Ana uchezesha mtima
Mwenzako napenda vibaya
Sijakupenda bahati mbaya
Nadata nakoma na haya
Unanifanya kitu mbaya yayayah
Oh ma baby nzela oh nzela wa njenje nje (Njenje)
Nipe akapela ya utamu wa embe mbe (Embe)
Oh ma baby nzela yoh nzela wa Zoro (Zoro)
Nipe akapela uponye huu moyo Eyaa ah
Samba loketo, sambaloketo
Samba loketo, sambaloketo
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Sambaloketo (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
JAY MELODY
Tanzania
Jay Melody is the young talented afrikan boy raised in the slams of Tandale kwa Mtogole he ...
YOU MAY ALSO LIKE