Home Search Countries Albums

Mahabuba

BEKA IBROZAMA

Mahabuba Lyrics


Beiby, nataka nikung'ate sikio 
Nilo nayo ndani
Beiby, nishalipata chungio
Nichengeze pumba za Pwani

Mvuvi haogopi chombo
Nipe nivue
Kagere hachezeshwi ndondo
Sijisumbue

Miuno ya paka chongo
Nisasambue
Penzi lizidi uhondo
Uhondoo

Mahaba! Zidisha mahaba nidate
Mahaba! Kwa joto baridi nikumbate
Mahaba! Uwe ulimi niwe mate
Mahaba! Mahabuba aaah...

Watakuja kwa hodi ngongongo
Kusudi waniibie, wengine vimacho zongo
Hodari wa kupiga madongo
Wasije kukupa hongo

Mwenzako nina moyo wa kizamani
Nikipenda napenda mazima
Mie joka wa kijani
Vurugu huwaga sina

Sa wasije wanyang'anyi 
Mizizi wakakata na shina
Mi nitabaki na nani?
Bila wewe...

Mvuvi haogopi chombo
Nipe nivue
Kagere hachezeshwi ndondo
Sijisumbue

Miuno ya paka chongo
Nisasambue
Penzi lizidi uhondo
Uhondoo..

Mahaba! Zidisha mahaba nidate
Mahaba! Kwa joto baridi nikumbate
Mahaba! Uwe ulimi niwe mate
Mahaba! Mahabuba aaah...

Mahabuba ooooh
Mahabuba aaah
Mahabuba
Mahabu---uuuh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Mahabuba (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BEKA IBROZAMA

Tanzania

Beka Ibrozama is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE