Home Search Countries Albums

Changanya

BEKA IBROZAMA

Changanya Lyrics


Keti nizunguke 
Kila kona ya dunia
Sitopata kama wewe

Ila mama alinambia
Dunia duara
Haina kona kona

Ukitaka nakiunywa(Sawa)
Na ukitaka kuoga(Sawa)
Na hata ukimwaga
Mimi ni maji yako

Mimi kwako ni njiwa
Ushanivunja mabawa
Hata ukinichinja
Nipe maamuzi yako

Nipe nipe, nipe nipe
Kwa raha na maumivu 
Nipe

Changanya changanya
Changanya changanya
Changanya changanya
Unanifanya nichanganyikiwe

Changanya changanya
Changanya changanya
Changanya changanya

Umeniweka moyoni
Sioni sionekani
Umenificha

Kwani pesa kitu gani
Walishasema zamani
Kila kukicha

Wenye chuki chuki zao
Wapambane na hali zao

Nipe nipe, nipe nipe
Kwa raha na maumivu 
Nipe

Changanya changanya
Changanya changanya
Changanya changanya
Unanifanya nichanganyikiwe

Changanya changanya
Changanya changanya
Changanya changanya

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Changanya (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BEKA IBROZAMA

Tanzania

Beka Ibrozama is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE