Changanya Lyrics

Keti nizunguke
Kila kona ya dunia
Sitopata kama wewe
Ila mama alinambia
Dunia duara
Haina kona kona
Ukitaka nakiunywa(Sawa)
Na ukitaka kuoga(Sawa)
Na hata ukimwaga
Mimi ni maji yako
Mimi kwako ni njiwa
Ushanivunja mabawa
Hata ukinichinja
Nipe maamuzi yako
Nipe nipe, nipe nipe
Kwa raha na maumivu
Nipe
Changanya changanya
Changanya changanya
Changanya changanya
Unanifanya nichanganyikiwe
Changanya changanya
Changanya changanya
Changanya changanya
Umeniweka moyoni
Sioni sionekani
Umenificha
Kwani pesa kitu gani
Walishasema zamani
Kila kukicha
Wenye chuki chuki zao
Wapambane na hali zao
Nipe nipe, nipe nipe
Kwa raha na maumivu
Nipe
Changanya changanya
Changanya changanya
Changanya changanya
Unanifanya nichanganyikiwe
Changanya changanya
Changanya changanya
Changanya changanya
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Changanya (Single)
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE