Home Search Countries Albums

Kidani

BEKA IBROZAMA Feat. JOLIE

Kidani Lyrics


Maneno sumu mpenzi we usiyasikie
Yakaharibu mapenzi yee, ya kwangu mie
Ukanihukumu kishenzi, mapenzi nichukie
Moyo ukaupa na ganzi, nikasimulie 

Uhuru na unyenyekevu uloonyesha
Penzi limebaki picha
Nikikumbuka kidonda natonesha
Kichwa macho yafikicha

Usiulizwe uko wapi
Kutwa kucha una mazonge
Kuvutana na mashati
Umeota na mapembe

Siku hizi hunitaki
Mi nafosi unipende
Kama penzi hisabati
Sina namba nikuhonge

Oooh kunipa penzi nigombanie
Kama kuku bandani
Oooh sa waniliza mie
We nawe wa kazi gani

Oooh sema nikupe nini
Ama nichonge kidani
Oooh tukaishi mwezini
Ili nipate amani

Kila nikichutama 
Natamani maji ya kisima
Nikisimama
Natetemeka mwili mzima

Liko wapi penzi
Tulilopanda leo tuje kuvuna
Ya manati
Nuru ya penzi letu ushazima

Uhuru na unyenyekevu uloonyesha
Penzi limebaki picha
Nikikumbuka kidonda natonesha
Kichwa macho yafikicha

Usiulizwe uko wapi
Kutwa kucha una mazonge
Kuvutana na mashati
Umeota na mapembe

Siku hizi hunitaki
Mi nafosi unipende
Kama penzi hisabati
Sina namba nikuhonge

Oooh kunipa penzi nigombanie
Kama kuku bandani
Oooh sa waniliza mie
We nawe wa kazi gani

Oooh sema nikupe nini
Ama nichonge kidani
Oooh tukaishi mwezini
Ili nipate amani

Kunipa penzi nigombanie
Kama kuku bandani
Sa waniliza mie
We nawe wa kazi gani

Sema nikupe nini
Ama nichonge kidani
Tukaishi mwezini
Ili nipate amani

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Kidani (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BEKA IBROZAMA

Tanzania

Beka Ibrozama is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE