Home Search Countries Albums

Mbali Lyrics


Baby, kanda limemeza deki
Unanichanganya siongei(Siongei siongei)
Simu imekata netweki
Napiga kwa ya bombe(Bombe bombe)

Kukusaliti ndopo mbaya(Mbaya)
Napata joto joto yaani hoi fire(Fire)
Usichoke na mi, nazama natoa
Kisimani ndo we kata natoa

Naona imenitight sana sisemi
Naona raha
Kwenye kona umenibana sishushi midani
Naona raha

Baby don't go(So far)
Ah yeah(So far)
Usiende mbali(So far)
Mbali(So far)
Baby don't go(Don't go)

Hoi kilimani 
Zigo na basikeli
Hoi taabani 
Nimezama kweli kweli

Yeye ni kiuno mi mkanda 
Sichoki kupanda 
Nikuna nazi naye na kikanga
Yaani bara, wanishangaza
Fanya kama unaleta
Naifuata mmh, naifuata

Naona imenitight sana sisemi
Naona raha
Kwenye kona umenibana sishushi midani
Naona raha

Baby don't go(So far)
Ah yeah(So far)
Usiende mbali(So far)
Mbali(So far)

Baby don't go(So far)
Eeeh(So far)
So far(So far)
Wouwo(So far...)

Baby don't go
Ayaya aya aah
Baby don't go
Ah lala..

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Mbali (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BEKA IBROZAMA

Tanzania

Beka Ibrozama is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE