Home Search Countries Albums

Raha

ZEE Feat. MR BLUE

Raha Lyrics


Oh babe eh 
Vile unanifanyia mandingo
Ndo nijisikie
Unanikoko-kosha babaa

Oh babe eeh
Penzi nyota tusafirie 
Unanitosha 
Unanitosha tosha ah

Kila chumba changu kwenye moyo wangu 
Ushapanga wee
Kama nikikosa, nikikosa nisamehe

Hata nuru yangu na nyota yangu 
Sare na wewe
Usije ukanitosa, ukanitosa nife

We ni dawaaaa 
Umeniponya maumivu 
Nilotoka nayo nyuma

Usiote mbawa
Usije ukaruka 
Ukasepa nao maana

We ni dawaaaa 
Umeniponya maumivu 
Nilotoka nayo nyuma

Usiote mbawa
Usije ukaruka 
Ukasepa nao maana

Unanipa raha, unanipa raha
Unanipa raha unanipa raha
Unanipa raha, unanipa raha
Unanipa raha unanipa raha

Umenipa dawa ya sumu ya mapenzi
Nimepagawa na team yako nipe jezi
Nilinde nyumba yako wasifike wezi
Tule baraka za wazazi wako na Mwenyezi
 
Mwili wote mali yako chezeaa
Ning’inia kwenye bomba lako bembeaaa
Napenda kuona miguu yako vile ukitembea
Napenda ukiongea macho yamelegea

Lazima ntasogea unajua nimekolea
Unanchanganya na michezo ya kitanga
Nyuma ulivojaza ndani moja kanga
Nakukataza mama usiende kwa waganga

Penzi limenichalaza na haujashika panga
Umekalisha wanga haujui kudanga 
Umenipiga lock nikitoka kimungu mungu 
Raha unazonipa mpaka nahisi kizunguzungu 
(Bizy, Bizy)
 
We ni dawaaaa 
Umeniponya maumivu 
Nilotoka nayo nyuma

Usiote mbawa
Usije ukaruka 
Ukasepa nao maana

We ni dawaaaa 
Umeniponya maumivu 
Nilotoka nayo nyuma

Usiote mbawa
Usije ukaruka 
Ukasepa nao maana

Unanipa raha, unanipa raha
Unanipa raha unanipa raha
Unanipa raha, unanipa raha
Unanipa raha unanipa raha

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Raha (Album)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ZEE

Tanzania

Zee Cuty  is an artist from Tanzania signed under Kwetu Studios. ...

YOU MAY ALSO LIKE