Nakuja Lyrics
Nikikuona moyo wangu gojo gojo
Nahisi kukuona ooh nachojoa chojo
Sitaki kona kona, nakusubiri jojo
Ooh beiby shona shona shindilia
Nahisi naibiwa
Ooh No, hawana ujanja
Nachanganyikiwa
Beiby slow slow safisha uwanja
Nikumbate nipate joto joto
Mwaga mbolea tupate katoto
Gusa baba ya moto
Aaah aah kimoko
Nimekusikia, ooh mama watoto
Nakanyagia mixer prokoto
Nyonga mama, ya moto
Aha haa, kimoto
Whats the time now?(Nakuja)
Ona hutokei(Nakuja)
Nimechoka kusubiri(Nakuja)
Mbona husogei(Nakuja)
Whats the time now?(Nakuja)
Ona hutokei(Nakuja)
Nimechoka kusubiri(Nakuja)
Aaah aah(Nakuja)
Wanaulizana
Nimekupendea nini beiby?
Tumeshibana
Yaani shoka na mpini beiby aah
Vile unavyosindika naridhia
Homa inapoa
Fade inatiririka, miminika
Nishatangaza ndoa
Nikumbate nipate joto joto
Mwaga mbolea tupate katoto
Gusa baba ya moto
Aaah aah kimoko
Nimekusikia, ooh mama watoto
Nakanyagia mixer prokoto
Nyonga mama, ya moto
Aha haa, kimoto
Whats the time now?(Nakuja)
Ona hutokei(Nakuja)
Nimechoka kusubiri(Nakuja)
Mbona husogei(Nakuja)
Whats the time now?(Nakuja)
Ona hutokei(Nakuja)
Nimechoka kusubiri(Nakuja)
Aaah aah(Nakuja)
Isubiri mama(Nakuja)
Aah ningoje(Nakuja)
Papa piva popo(Ayee)
Aah aah ooh ooh(Ayee)
Aah tira toto(Ayee)
Tatata prokoto prakata ooh
Tata tira toto(Ayee)
Tata tira toto(Ayee)
Tata tira toto(Ayee)
Tatata prokoto prakata ayee
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Nakuja (Single)
Copyright : (c) 2019 Kwetu Studios
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE