Home Search Countries Albums

Nakuja

ZEE Feat. HAMADAI

Nakuja Lyrics


Nikikuona moyo wangu gojo gojo
Nahisi kukuona ooh nachojoa chojo
Sitaki kona kona, nakusubiri jojo
Ooh beiby shona shona shindilia

Nahisi naibiwa
Ooh No, hawana ujanja
Nachanganyikiwa
Beiby slow slow safisha uwanja

Nikumbate nipate joto joto
Mwaga mbolea tupate katoto
Gusa baba ya moto
Aaah aah kimoko

Nimekusikia, ooh mama watoto
Nakanyagia mixer prokoto
Nyonga mama, ya moto
Aha haa, kimoto

Whats the time now?(Nakuja)
Ona hutokei(Nakuja)
Nimechoka kusubiri(Nakuja)
Mbona husogei(Nakuja)

Whats the time now?(Nakuja)
Ona hutokei(Nakuja)
Nimechoka kusubiri(Nakuja)
Aaah aah(Nakuja)

Wanaulizana 
Nimekupendea nini beiby?
Tumeshibana
Yaani shoka na mpini beiby aah

Vile unavyosindika naridhia 
Homa inapoa
Fade inatiririka, miminika
Nishatangaza ndoa

Nikumbate nipate joto joto
Mwaga mbolea tupate katoto
Gusa baba ya moto
Aaah aah kimoko

Nimekusikia, ooh mama watoto
Nakanyagia mixer prokoto
Nyonga mama, ya moto
Aha haa, kimoto

Whats the time now?(Nakuja)
Ona hutokei(Nakuja)
Nimechoka kusubiri(Nakuja)
Mbona husogei(Nakuja)

Whats the time now?(Nakuja)
Ona hutokei(Nakuja)
Nimechoka kusubiri(Nakuja)
Aaah aah(Nakuja)

Isubiri mama(Nakuja)
Aah ningoje(Nakuja)

Papa piva popo(Ayee)
Aah aah ooh ooh(Ayee)
Aah tira toto(Ayee)
Tatata prokoto prakata ooh

Tata tira toto(Ayee)
Tata tira toto(Ayee)
Tata tira toto(Ayee)
Tatata prokoto prakata ayee

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Nakuja (Single)


Copyright : (c) 2019 Kwetu Studios


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ZEE

Tanzania

Zee Cuty  is an artist from Tanzania signed under Kwetu Studios. ...

YOU MAY ALSO LIKE