Home Search Countries Albums

Hapo

RJ THE DJ Feat. MARIOO

Hapo Lyrics


Mmmh walai, 
Haki ya Mungu utanitapisha nyongo
Mimi mwenzio, masebene sijazoea
Walai, tutatoana vyongo
Kwako mi mwenzao 
Noketea mwisho pata potea

Nisharanda randaga mie
Kutafuta kiponzio
Mara machungu yanazidigi tu
Haya ni matabu

Nishaumizwa umizwa mie
Haya manusu yanitoke roho
Chini upweke manyanya msuko juu
Mmmh

Angalau kwako napata nafuu
Aaah eeh aah eeeh
Na nimeridhia,
Ulipokusanya kwenyewe

Hapo, usiongeze ndimu
Usipunguze chumvi ushanichanyanya
Hapo, umenishika nishikilie
Nisije ponyoka

Hapo, uzikwe na miee...
Hapo, aaah yeah yeah yeah mmmhh..

Ukifanya unavyofanyaga
Kama niko peponi mwenzio
Yaani naona raha 
Narudi utotoni mwenzio

Ladha yake pizza kwa burger
Mie kisogoni yeah
Hata wiki tukikeshaga 
Nabaki kusong'oni mwenzio

Kwa penzi lako nimekuwa teja
Nipeleke sober hatua mbaya 
Maana kila nikikuona
Nawaza kutinga tinga

Angalau kwako napata nafuu
Aaah eeh aah eeeh
Na nimeridhia,
Ulipokusanya kwenyewe

Hapo, usiongeze ndimu
Usipunguze chumvi ushanichanyanya
Hapo, umenishika nishikilie
Nisije kaponyoka

Hapo, uzikwe na miee...
Hapo, aaah yeah yeah yeah mmmhh..

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Changes/ Hapo (Album)


Copyright : (c) 2019 Wasafi Records


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RJ THE DJ

Tanzania

Romy Jones aka Rj The Dj  is an artist, WCB vice president, Diamond Platnumz official Dj/ Wasaf ...

YOU MAY ALSO LIKE