Home Search Countries Albums

Sina

ZEE

Sina Lyrics


Naalia mambo ni mengi
Sipati jibuu
Naumia visa ni vingi
Maajaribuu

Silali(Haiya)
Nasinziaa kutwa nawaza waza
Hatarii nitajifia
Yaani nawaza waza

Haya haiyaaiyaa (Moyo nina moyo)
Hayaa ah haiyaiyaiya ha(Nna moyoo)
Hanipi mapenzi ataka nimpe yeye(Moyo we nna moyo)
Hanilishi nishibe ataka ale yeye

Usingizi sina
Usingizi sina
Usingizi sina
(Sina sina)

Usingizi sina
Matanga na mimi 
Mi na matanga ka popo
Usingizi sina

Hivi ni nani mwenye penzi 
La dhati nimpokee(Nimpokee)
Aso kisirani nikivunja
Masharti atanisamehe(Atanisamehe)

Kama yule Sesi na Juma
Hamisi na Mwajuma, wana enjoy 
Asiwe kapasta na suma
Chaku nunanuna, sitaenjoyy

Haya haiyaaiyaa (Moyo nina moyo)
Hayaa ah haiyaiyaiya ha(Nna moyoo)
Hanipi mapenzi ataka nimpe yeye(Moyo we nna moyo)
Hanilishi nishibe ataka ale yeye

Usingizi sina
Usingizi sina
Usingizi sina
(Sina sina)

Usingizi sina
Matanga na mimi 
Mi na matanga ka popo
Usingizi sina

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Sina (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ZEE

Tanzania

Zee Cuty  is an artist from Tanzania signed under Kwetu Studios. ...

YOU MAY ALSO LIKE