Usinipite Bwana Lyrics

Usinipite bwana usinipite
Unapogusa wengine nami niguse
(Usinipite bwana usinipite
Unapogusa wengine nami niguse)
Usinipite bwana usinpite
Unapogusa wengine nami niguse
(Usinipite bwana usinipite
Unapogusa wengine nami niguse)
Mawazo yangu na moyo wangu
Nakungoja uniguse
Akili zangu ufaham wangu
Vyote vyakungoja
Ninayo iman ukinigusa
Napokea uzima
Magonjwa yote mwilini mwang
Yataondoka
Usinipite bwana usinipite
Unapogusa wengine nami niguse
Mkono wako gusa tumbo langu
Naomba uponyaji
Kichwa changu na mikono yangu
Na miguu yangu
Na macho yangu naomba uyaguse
Nipate kukuona
Naziamini kazi zako Mungu
Naomba niguse
Usinipite bwana usinipite
Unapogusa wengine nami niguse
Eeh ndugu yangu Yesu anaguvu
Ruhusu akuguse
Familia yako na ndoa yako
Yesu ataponya
Usikate tamaa kwa uliyo nayo
Kwa Mungu yawezekana
Alivyo hurumia wengine
Na kwako atafanya
Usinipite bwana usinipite (ooh ooh)
Unapogusa wengine nami niguse
(Usinipite bwana)
Usinipite bwana(usinipite Yesu)
Usinipite (Nakungoja bwana)
Unapogusa wengine (Eeh mwokozi)
Nami niguse (Eeh usinipite Yesu)
Usinipite bwana (Naomba bwana)
Usinipite (Eeh baba)
Unapogusa wengine (Wengine) nami niguse
Usinipite bwana usinipite
Unapogusa wengine nami niguse
Usinipite bwana (Usinipite babaa)
Usinipite (Nakuita Yesu)
Unapogusa wengine (Eeh yeye baba)
Nami niguse (Usinipite baba yangu)
Usinipite bwana (Usinipite bwana)
Usinipite (Nakungoja bwana)
Unapogusa wengine (Nami niguse baba)
Nami niguse (Niguse bwana wangu)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2016
Album : Usinipite Bwana (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE