Home Search Countries Albums

Upendo wa Yesu

UPENDO NKONE

Upendo wa Yesu Lyrics


Eh tunamsifu Mungu
Anatulinda lila siku
Upendo wake umetuzunguka siku zote
Halleluyah

Huku na huku eeh kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Kila ninapoimba kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka

Niwapo nimelala kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Na ninapo tembea tembea kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka

Hata nikiwa nakula kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Eh niwapo safarini kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Nikiwa masomoni kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka

Kila tunapokwenda tumezungukwa na nguvu za Mungu
Na kila tunalolifanya
Ambalo ni kwa ajili ya utukufu wa jina lake
Tumezungukwa na upendo wake halleluyah

Huku na huku na kule na hapo kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Anitegulia mitego ya muovu kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka

Mi nalindwa kuliko wakuu wa dunia kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Hata nikiwa pekee yangu kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka

Na nikiwa nyumbani kwangu kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Na nikiwa kazini kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka

Huku na huku na huku kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Nikiwa hospitalini kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka

Nimezungukwa na nguvu za Mungu kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka
Huku na huku he kama mawimbi
Upendo wa Yesu wanizunguka (Mawimbi mawimbi)
Kama mawimbi, upendo wa Yesu wanizunguka

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2009


Album : Upendo wa Yesu (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

UPENDO NKONE

Tanzania

Upendo Nkone is a gospel artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE