Home Search Countries Albums

Kokoko Lyrics


Nikuinulie kokoko
Nikunyongee msokoto
Joto tuogee utokoto

Njoo unipe joto
Baridi usiku nateseka baby
Natetema baby

Penzi lako moto
Usiniache kwenye shimo baby
Usinikatae baby

Ulipo mi nipo yaani
Jino kwa jino hunnie
Sebuleni kwa uani
Nipo nawe bampani

Mi kwako baby sio mpitaji
Ukiwa mbali beki hazikabi
Unanifanya mi nahaha
Kwa penzi lako mi nahahaha
Sina utani mwenzako nimebania
Kwani huoni hizi zangu hisia

Nikuinulie kokoko
Nikunyongee msokoto
Taumia na mkokoko
Joto tuogee utokoto

Baby unishushie kimoko
Nikupatie katoto
Kwenye baridi una joto
Yaani mambo iko moto

Mi kwako bubu utakacho we ni sawa
Unifanye zuzu uteke na himaya
Usilete no na kunidharau
Navyochakarika uone
Mwingine afiche nani? Yeah yeah

Eeh kama mboga imekolea tui
Ugali dona dona
Sterling nishafa kwa adui
Sijapona pona 

Mi kwako baby sio mpitaji
Ukiwa mbali beki hazikabi
Unanifanya mi nahaha
Kwa penzi lako mi nahahaha
Sina utani mwenzako nimebania
Kwani huoni hizi zangu hisia

Nikuinulie kokoko
Nikunyongee msokoto
Taumia na mkokoko
Joto tuogee utokoto

Baby unishushie kimoko
Nikupatie katoto
Kwenye baridi una joto
Yaani mambo iko moto

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Kokoko (Single)


Copyright : (c) 2020 Passion Java


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HAITHAM KIM

Tanzania

Haitham Kim is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE