Kokoko Lyrics

Nikuinulie kokoko
Nikunyongee msokoto
Joto tuogee utokoto
Njoo unipe joto
Baridi usiku nateseka baby
Natetema baby
Penzi lako moto
Usiniache kwenye shimo baby
Usinikatae baby
Ulipo mi nipo yaani
Jino kwa jino hunnie
Sebuleni kwa uani
Nipo nawe bampani
Mi kwako baby sio mpitaji
Ukiwa mbali beki hazikabi
Unanifanya mi nahaha
Kwa penzi lako mi nahahaha
Sina utani mwenzako nimebania
Kwani huoni hizi zangu hisia
Nikuinulie kokoko
Nikunyongee msokoto
Taumia na mkokoko
Joto tuogee utokoto
Baby unishushie kimoko
Nikupatie katoto
Kwenye baridi una joto
Yaani mambo iko moto
Mi kwako bubu utakacho we ni sawa
Unifanye zuzu uteke na himaya
Usilete no na kunidharau
Navyochakarika uone
Mwingine afiche nani? Yeah yeah
Eeh kama mboga imekolea tui
Ugali dona dona
Sterling nishafa kwa adui
Sijapona pona
Mi kwako baby sio mpitaji
Ukiwa mbali beki hazikabi
Unanifanya mi nahaha
Kwa penzi lako mi nahahaha
Sina utani mwenzako nimebania
Kwani huoni hizi zangu hisia
Nikuinulie kokoko
Nikunyongee msokoto
Taumia na mkokoko
Joto tuogee utokoto
Baby unishushie kimoko
Nikupatie katoto
Kwenye baridi una joto
Yaani mambo iko moto
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Kokoko (Single)
Copyright : (c) 2020 Passion Java
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE