Unabaki Kuitwa Mungu Lyrics

Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama ulinihuzunisha
Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama haujajibu maswali
Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama pito langu ni nzito
Unabaki kuitwa Mungu
Maana wewe ni Mungu mkuu
Umesema nikutafute sana baba
Ndipo nitakapo kuona bwana wangu
Nimefanya hivyo kwa miaka mingi sana
Lakini bado uko kimya
Ona watu wameanza kunicheka sana
Aibu hii nijifiche wapi Yesu wangu
Na umesema hautaniaibisha wee
Nitendee Yesu nisiaibike
Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama ulinihuzunisha
Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama haujajibu maswali
Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama pito langu ni nzito
Unabaki kuitwa Mungu
Maana wewe ni Mungu mkuu
Safari ya wokovu sio mchezo
Tunakutana na mambo mazito sana
Ambayo mtu kuyategemea
Na tena yanaumiza moyo
Lakini Mungu yeye ni mwaminifu sana
Anafanya mlango wa kutokea
Jitie moyo katika bwana
Maana faraja ya kweli yatoka kwake
Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama ulinihuzunisha
Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama haujajibu maswali
Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama pito langu ni nzito
Unabaki kuitwa Mungu
Maana wewe ni Mungu mkuu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Unabaki Kuitwa Mungu (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE