Home Search Countries Albums

Sema Lyrics


We ndo ulifanya najiuliza
Wapi napata wakuntuliza
Nafsi ya moto puliza puliza

Penzi ni moto ukaniunguza
Bila kujali kama nami ni binadamu

Imenipotea hamu
Ila kihali salama 
Nakula vitamu
Usijesogea kwangu

Tena fata yako njia ya kawaida
Sito come sito come kwako na
Shida sina ya kupendwa na weii
Uu baby

No no no shida 
Sina hamu sina kitu cha kuagiza 
Wala cha kuhongwa na weii

Nilikuuliza kama nafaa au sifai sema
Ungenieleza kama sifaiiii kuwa wako
Nilikuuliza kama nafaa au sifai sema
Ungenieleza kama sifaiiii kuwa wako

Tena fata yako njia ya kawaida
Sito come sito come kwako na
Shida sina ya kupendwa na weii
Uu baby

No no no shida 
Sina hamu sina kitu cha kuagiza 
Wala cha kuhongwa na weii

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Sema (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HAITHAM KIM

Tanzania

Haitham Kim is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE