Home Search Countries Albums

Mapema

RONZE

Read en Translation

Mapema Lyrics


Kidy kudy

Ayu ayu yuyu

Ayu ayu yu nono

Hollah

Aiii

Napata raha yani huko ndani

Penzi kama limetoka kiwandani

Naserebuka tu na wangu honey

Aiii hollah mmmh no noo

Yani ananipandisha maruani

Maji ya kuoga yana kachumbari aah

Napewa chai kwenye kisahani

Aiii hollah mmmh no noo

Na rangi yake kama moto

Walimwengu wana jelous

Hawajui napendwaga

Ooh no mno

Anikumbate ka mtoto

Nibebwe machela

Maana kwa hayaa

Nitazikwa mapema

Hayaa nitazikwa mapema

Nitazikwa mapema

Nitazikwa mapema

Nitazikwa mapema

Hayaa nitazikwa mapema

Nitazikwa mapema

Nitazikwa mapema

Nitazikwa mapema

Ayu ayu yu nono

Wambea wametukosa

Tunavyo disappear kama harry potter

Hawaoni tunazidi kuwarusha roho, rusha roho

Tunakaribia kulipuka

Maana kwa mbio kama tumefungwa mota

Barazani acha watuweke vikao, vikao

Ona rangi yake

Na rangi yake kama moto

Walimwengu wana jelous

Hawajui napendwaga

Ooh no mno

Anikumbate ka mtoto

Nibebwe machela

Maana kwa hayaa

Nitazikwa mapema

Hayaa nitazikwa mapema

Nitazikwa mapema

Nitazikwa mapema

Nitazikwa mapema

Hayaa nitazikwa mapema

Nitazikwa mapema

Nitazikwa mapema

Nitazikwa mapema

Ayu ayu yuyu

Ayu ayu yu nono

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

RONZE

Tanzania

Ronze is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE