Home Search Countries Albums

Miss u mama

HANSTONE

Miss u mama Lyrics


Ikifika asubuhi mama unaniamsha
Nakuta na chai mezani, umesha chemsha
Kisha, unaweka maji bafuni unanikogesha
Kwani nimekosa nini mpaka unaniacha?

If ungesema mapema,
Kama kesho unaondoka mama
Mwenzio moyo unauma
Na nafsi inasonona

Aah nakukumbuka
Usiku silali nakuwaza wewe
Mpaka najuta kuona umeondoka
Umeniacha mwenyewe

Yalonikuta wala sisemi
Nalia mwenyewe
Mama toka umeondoka

I miss you mama
Mbona umeondoka umeniachia kidonda
I miss you mama
Sili silali mwanao nakonda

I miss you mama
Ila sio siri bado nakupenda
I miss you mama
Haifai mama umeniacha solemba

Mama yangu ungekuwepo singepata taabu
Siku nyingine naumwa nakosa matibabu
Mimi naona Mungu umenipa adhabu
Mpaka hii dunia naiona ya ajabu

Ah, kama chozi lingekurejesha mama
Mimi ningelia usiku na mchana
Mimi naomba Mungu ulale mahali pema
Umetangulia ipo siku tutajaonana mama

Nakukumbuka
Usiku silali nakuwaza wewe
Mpaka najuta mbona umeondoka
Umeniacha mwenyewe

Yalonikuta mama
wala sisemi, nalia mwenyewe
Mama toka umeondoka
Mwenzio bado sijaelewa

I miss you mama
Mbona umeondoka umeniachia kidonda
I miss you mama
Sili silali mwanao nakonda

I miss you mama
Ila sio siri bado nakupenda
I miss you mama
Haifai mama umeniacha solemba

I miss you mama, iye iyee
I miss you mama, iye iyee
I miss you mama, I miss you mama

Nakukumbuka
Usiku silali nakuwaza wewe
Mpaka najuta kuona umeondoka
Umeniacha mwenyewe

Yalonikuta mama wala sisemi
Nalia mwenyewe
Mama toka umeondoka

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : miss u mama (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HANSTONE

Tanzania

Hanstone is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE