Home Search Countries Albums

Mazoea

WHOZU

Mazoea Lyrics


(It's S2kizzy Beiby)
Acha nibaki kwako
Furaha yangu we kwako baby yeah
Ukweli uko peke yako 
Nimeridhika mi mwenzako baby

Wengine hawana ulicho nacho
Chako changu, changu chako (Changu ni chako)
Kukuacha siwezi bado 
Kukuchoka ndo kwanza bado baby

You're my beautifier
Take me higher oh my love
My desire, wangu mwaya
Oh my love

You're my beautifier
Take me higher oh my love
My desire, wangu mwaya

Mazoea yana taabu, mazoea yana taabu
Mazoea yana taabu, mazoea yana taabu
Mazoea yana taabu, mazoea yana taabu
Mazoea yana taabu, mazoea yana taabu

(Aah wee ooh...Aah wee aah)

I wish uelewe
Naposema nimekuza na wewe boo
Mimi sitaki nichelewe 
Wanjanja wasinizidi kelele boo

Yote sababu ni wewe
Nafanya kwa ajili yako tu
Sababu ni wewe
Nafanya kwa ajili yako tu

Nisitiri kipenzi nisijeumbuka
Nikisinzia nifunike shuka
Siwezi kuchepuka mi nakuogopa
Yaani kama uji kwako natokota

ou're my beautifier
Take me higher oh my love
My desire, wangu mwaya
Oh my love

You're my beautifier
Take me higher oh my love
My desire, wangu mwaya

Mazoea yana taabu, mazoea yana taabu
Mazoea yana taabu, mazoea yana taabu
Mazoea yana taabu, mazoea yana taabu
Mazoea yana taabu, mazoea yana taabu

(Aah wee ooh...Aah wee aah)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Mazoea (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

WHOZU

Tanzania

Whozu Andaskoo is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE