Home Search Countries Albums

Kwa Jana

RONZE Feat. AMBER LULU

Kwa Jana Lyrics


Gari lipo mafuta full sa tuende wapi?
Kule kule kwa jana 
Mnaniomba lifti nikupeleke wapi?
Kule kule kwa jana 

Sasa mbona nayumba nilikunywa wapi?
Kule kule kwa jana 
Pembeni nina bonge ya pisi imetoka wapi?
Kule kule kwa jana 

Eti unanipitisha mbona kuna matope
Mfukoni una pesa eti oh ni utoke
Hata nikiwa kwa kulala 
Si nina mikambi popote
Iwe basikeli hata mguu 
Mi nataka tu utoke

Sa mbona unayumba Dj, sijalewa
Tunaomba ngoma utuekee ah ah sijalewa
Inakuvuka au kata K, sijalewa
Unajikuta ushapanda bei, ah ah sijalewa

Kule kule kwa jana 
Kule kule kwa jana 
Kule kule kwa jana 
Kule kule kwa jana 

Pati we papati, leo ghetto kuna party
Wametupikia chapati na mchuzi kaimati
Pati we papati, tusivutane mashati
Ingia ucheze katikati, kuna huku leo wapi

Hata nikicheza nibambie shemu, mbona pambe
Na ikiniweza nimpatie game, yaani pambe
Eti mimba ya Uchebe tumpee majani, mbona pambe
Yaani kaniganda vile kile sehemu, yaani pambe

Sa mbona unayumba Dj, sijalewa
Tunaomba ngoma utuekee ah ah sijalewa
Inakuvuka au kata K, sijalewa
Unajikuta ushapanda bei, ah ah sijalewa

Kule kule kwa jana 
Kule kule kwa jana 
Kule kule kwa jana 
Kule kule kwa jana 

Waboba waboba, wanatuekea kikati
Tuzunguke kushoto, tuzunguke kulia
Wa wa wahuku, wa wa wa kule 
Wa wa wahuku, wa wa wa kule 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Kwa Jana (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RONZE

Tanzania

Ronze is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE