Home Search Countries Albums

Nakuchukia

MABANTU

Nakuchukia Lyrics


Kama moyo wako ungekuwa samaki
Mi nahisi ushanimeza(Hamu-hee)
Maana yote unayofanya 
Ni kwa sababu unaniweza

Nakufumania una act unalia
Nakubembeleza
Alafu kwa rafiki zako 
Unatamba umeniweza

Kutwa DM yako ni Ali na Jux
Unawasifia(Salale)
Kwa emoji za makopa kopa
Ila nikajipa moyo sio kesi

Prado na Hummer ulinidanganya
Uber nikavumilia(Salale)
Nikikuuliza we mwenzangu vipi
Unanijibu wame update

Cha kushangaza Don Dingo rafiki yangu
Ila why umetoka na yeye?
Toto Bad ni rafiki yangu 
Ila why umetoka na yeye?

Stonebwoy ni rafiki yangu
Ila why umetoka na yeye?
Muuh Kajo ni ndugu yangu
Sasa why

Nakuchukia! 
Nakuchukia!
Ninakuchukia!
Nakuchukia! 
Niakuchukia!

Mwenzenu nilitwa doctor
Pale akitaka dawa
Kumbe kwake nilikuwa kidole
Kimoja sikuvunja chawa

Ni bora ushutiwe na gun
Nyie mapenzi yanauma usinitanie
Kaniumiza moyo aah
Nalia na moyo aaah

Ni bora cha msibani
Nyie kilio cha mapenzi mkisikie
Kinauma kwa moyo aah
Vibaya kwa moyo aaah

Cha kushangaza Barnaba mi ni kaka yangu
Ila why umetoka na yeye?
Dully Misifa ni baba yangu 
Ila why umetoka na yeye?

Stan Bakora rafiki yangu
Ila why umetoka naye?
Twaah Kane ni ndugu yangu
Sasa why

Nakuchukia!
Hata barabarani ukiniona nipite 
Nakuchukia!
Hata ukisikia nimekufa usinizike

Ninakuchukia!
Hata barabarani ukiniona nipite 
Nakuchukia! 
Hata ukisikia nimekufa usinizike

Ninakuchukia!

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Nakuchukia (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MABANTU

Tanzania

Mabantu Is A Urban Boy Band From Tanzania Consisting Of Muuh Mabantu And Twaah Mabantu ...

YOU MAY ALSO LIKE