Home Search Countries Albums

Kizunguzungu

RONZE

Kizunguzungu Lyrics


Mmmh yanini niwaze nikae niumie
Kisa nabembeleza mapenzi
Moyo wangu usiukomaze ufanane na jiwe
Mi ndo nishaghairi mapenzi

Nilijisahau kwenye penzi lako
Kumbe ndo naitengeneza sumu ooh
Maumivu nilikumbatia kama mtoo
Ila hukujali vile niumiavyo

Mmmh nimenishindwa kustahimili mambo yako
Ya nini kujiumiza akili na hauko peke yako
Katu sikuomba hivyo hali yakwame mambo yako
Tunaachana tuachane salama
Napita njia yangu nawe pita yako

Naomba unisahau
Nifute kwenye memory yako (Kizunguzungu)
Maana na unadharau 
Kwa kuniliza kama mtoto (Kizunguzungu)
Umepanda dau unaniona mi sio type yako (Kizunguzungu)
Tena uliniona kama nyau
Ulishanidhalili kwa rafiki zako (Kizunguzungu)

Mmmh hmm we mtu gani usiye na mwiko
Kila kipitacho mbele unataka kiwe chako
Utamu wa wali tandu kwa makoko
Ila we umezidi unasonga ugali kwa kijiko

Nimenishindwa kustahimili mambo yako
Ya nini kujiumiza akili na hauko peke yako
Katu sikuomba hivyo hali yakwame mambo yako
Tunaachana tuachane salama
Napita njia yangu nawe pita yako

Naomba unisahau
Nifute kwenye memory yako (Kizunguzungu)
Maana na unadharau 
Kwa kuniliza kama mtoto (Kizunguzungu)
Umepanda dau unaniona mi sio type yako (Kizunguzungu)
Tena uliniona kama nyau
Ulishanidhalili kwa rafiki zako (Kizunguzungu)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Kizunguzungu (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RONZE

Tanzania

Ronze is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE