Accueil Recherche Pays Albums

Cheza Lyrics


Rj the Dj, all day baby

Penzi lina meno limeuma
Lina ya mbele na ya nyuma
Ukipata wa kukutafuna 

--sina shaka mama
Kila chonde chonde
Saa na tochole wasijue
Jamani

Eti baba akiwa anapodoa
Wakijua na wanatoboa
Midomo juu kwanza kuzoboa
Sisi ni machuna kama ndoa

Mama, wapige tatararira
Mpaka chini wakachuna
Maneno si kifaa dura
Mimi na wangu vimara
Wameshasema sana 
Mwisho wa siku nitazikwa naye

Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka

--------------------

--------------------

Eti baba akiwa anapodoa
Wakijua na wanatoboa
Midomo juu kwanza kuzoboa
Sisi ni machuna kama ndoa

Mama, wapige tatararira
Mpaka chini wakachuna
Maneno si kifaa dura
Mimi na wangu vimara
Wameshasema sana 
Mwisho wa siku nitazikwa naye

Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Changes/ Cheza (Album)


Copyright : (c) 2019 Wasafi Records


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RJ THE DJ

Tanzanie

Romy Jones aka Rj The Dj  is an artist, WCB vice president, Diamond Platnumz official Dj/ Wasaf ...

YOU MAY ALSO LIKE