Tilalila Lyrics
Kila nikigonga muhuli naambulia sifuri
Kumbe mapenzi yame updatiwa name analog so digitali
Uku navunja meno (meno)
Wenzangu wanatumia (opener)
Anamwita shem na anampa game
Kucheet imekua fashion
Akisema yupo single
Anakudanganya
Sikuizi si mioyo tu hadi bandama zinadanganywa
Sikuizi wanapewa handsome nami sura ya Baba (Babaaa)
Hapo ndipo Napata wazimu vipi beki zitakaba
Siku hizi wanapenda waenda gym, na mimi namba saba (sabaa)
Hapo ndipo Napata wazimu vipi beki zitakaba
Oooh acha niwe (tilalila li)
Mmh aaah (tilalila li)
Acha niwe tilalila li ti ti ti aaah
Acha niwe tilalila li ti ti ti
Acha niwe tilalila li ti ti ti
Oooh acha niwe
Aiyaya DJ aii vipi mapenzi
Beno vipi mapenzi
Mafia losoo vipi mapenzi
Bwii je, (apooo sawa)
Masista du vipi mapenzi
Wahuni vipi mapenzi
Wanangu kule vipi mapenzi
Bwii je, (apooo sawa)
Akisema yupo single anakudanganya
Sikuizi si mioyo tu hadi bandama zinadanganywa
Sikuizi wanapewa handsome nami sura ya Baba (Babaaa)
Hapo ndipo Napata wazimu vipi beki zitakaba
Siku hizi wanapenda waenda gym, na mimi namba saba (sabaa)
Hapo ndipo Napata wazimu vipi beki zitakaba
Oooh acha niwe (tilalila li)
Mmh aaah (tilalila li)
Acha niwe tilalila li ti ti ti aaah
Acha niwe tilalila li ti ti ti
Acha niwe tilalila li ti ti ti
Oooh acha niwe
Masista du vipi mapenzi
Wahuni vipi mapenzi
Wanangu kule vipi mapenzi
Bwii je, (apooo sawa)
(Mafia)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Tilalila (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
KAYUMBA
Tanzania
Kayumba Asosie is a singer/songwriter / artist from Tanzania. He is best known for love so ...
YOU MAY ALSO LIKE