Home Search Countries Albums

Baba Akupokee

OMMY DIMPOZ Feat. MWANAFA

Baba Akupokee Lyrics


Umeacha pengo twamiss wako upendo
Ulikuwa nuru ukatutoa gizani
Uliyaishi matendo, mchapa kazi mzalendo
Daima twakushukuru mziba pengo ni nani?

Mi nawazaje sa itakuwaje
Watanzania wakuonapo macho umefumba
Mi nawazaje sa itakuwaje
Ooh Magu baba siamini ka umekwenda

Baba akupokee, baba akupokee
Baba akupokee, baba akupokee
Baba akupokee, baba akupokee
Baba akupokee, baba akupokee

Rais jiwe la katikati
Washwaligoma wakasanda
Ongea tupate dalili kwa sasa unataka kwenda
Tunakusahau vipi hata kama tukitaka
Barabara madarasa haki vyote vinatusuta

Chuma ni chuma kweli tena ni chuma cha pua
Mzigo mzito miaka sita dunia imekutambua
Nchi inazizima marafiki wanaona huruma
Vijana wako roho zimebaki zinauma

Hili ni deni zito
Mungu baba akupe pepo
Tuache na upako wako
Tuangalie huko uliko
Tunabaki watoto wako kwenye nchi yako
Nchi uloivaa na ukaipenda kwa moyo wako

Baba akupokee, baba akupokee
Baba akupokee, baba akupokee
Baba akupokee, baba akupokee
Baba akupokee, baba akupokee

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Baba Akupokee (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

OMMY DIMPOZ

Tanzania

Born on September 1987 in Dar Es Salaam, Omary Faraji Nyembo, better known as Ommy Dimpoz, is a reco ...

YOU MAY ALSO LIKE