Home Search Countries Albums

Ni Wewe

OMMY DIMPOZ

Ni Wewe Lyrics


Oooh nanananana...ooh yeah
Sultan 001
Nah nah nah nah...oooh

Nimeacha pengo, bila ni wako upendo
Umenipa nuru, umenitoa gizani
Sina maelezo, nimeishiwa uwezo
Na mwomba aliye juu, anitoe kitandani

Nikawazaje? Ingekuwajeee?
Maisha yangu na familia ningeondoka
Nikawazaje? Ingekuwaje yeah yeah
Shabiki zangu na ndoto zangu zingezimika

Oooh yeah, baba niwewe
Oooh baba yangu, baba niwewe
Oooh mungu wangu, baba niwewe  
Oooh mola baba eeeh, baba niwewe

Oooh naona miujiza
Siamini moyo ndo najiuliza, ni mimi?
Walelo waliza
Kwa dua zao wakasimama na mimi

Nikawazaje? Ingekuwajeee?
Maisha yangu na familia ningeondoka
Nikawazaje? Ingekuwaje yeah yeah
Shabiki zangu na ndoto zangu zingezimika

Oooh yeah, baba niwewe
Oooh baba yangu, baba niwewe
Oooh mungu wangu, baba niwewe  
Oooh mola baba eeeh, baba niwewe

Hakuna kama wewe mola baba
Hakuna kama wewe mola baba
Alpha na omega...ye...yeah
Alpha na omega...ye..yeah..yeah
Nah nah nah nah nah....

Baba niwewe...baba wewe  ye..ye..yeah
Baba niwewe...mola baba baba yeah..
Baba niwewe..baba wewe ye..ye..yeah
Baba niwee...mola baba baba yeah

Mola wewe yeah yeah
Baba yeah yeah
.....

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Ni Wewe (Single)


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

OMMY DIMPOZ

Tanzania

Born on September 1987 in Dar Es Salaam, Omary Faraji Nyembo, better known as Ommy Dimpoz, is a reco ...

YOU MAY ALSO LIKE