Home Search Countries Albums

Karibu Ruvuma

FOBY

Karibu Ruvuma Lyrics


Ukitaja Mahali sinazovutia
Nchini Tanzania huwezi acha Ruvuma
Ukitaka Mahali zenye vivutio
Huwezi acha Ruvuma aah aah
Kuna aina Mia 400 za samaki
Ziwa nyasa
Tena samaki wa mapambo
Tumebarikiwa Madini
Ya Vito na Uranium
Makaa ya mawe na Dhahabu
Ruvuma Imeiva Imeiva
Kwa uwekezaji
Tunawakaribisha karibisha
Mje kuwekeza

Ohhh karibu
Karibu Ruvuma
Ohh Karibu
Karibu Ruvuma
Ukitaka Uvuvi  ukitaka kilimo
Karibu Ruvuma
Karibu Ziwa Nyasa
Karibu Ruvuma

Haiyeeeee  Haiyee Mama
Haiyeeee haiye mama
Haiyeeee haiye mama
Hii ndo Ruvuma Ya Ibuge
Haiyeeeee  Haiyee Mama
Haiyeeee haiye mama
Haiyeeee haiye mama

Jua Ruvuma ni kapu la Chakula La taifa
Ardhi kubwa nzuri,Inayomiliki mazao lukuki
Soya ,Korosho,kahawa,Mahindi
Usisahau kuna hifadhi ya taifa
Ya mwalimu nyerere Ruvuma
Ambayo Inapitanamtumbo na tunduru
Na tena Tuna makumbusho ya taifa
Pale mahenge songea
Yaliyosheheni Kumbukumbu za  mashujaa wa majimaji
Kuna pori la akiba liparamba
Lililopo nyasa
Lenye tembo wahamiaji na simba weupe
Kuna mto ruvuma
Uloanza milima ya matogoto
Unaomwaga maji bahati ya hindi

Karibu Ruvuma
Ohhh karibuu
Karibu Ruvuma
Oh Royal tour na Ruvuma
Karibu Rubuma
Karibu Mama Samia
Karibu Ruvuma

Haiyeeeee  Haiyee Mama
Haiyeeee haiye mama
Haiyeeee haiye mama
Hii ndo Ruvuma Ya Ibuge
Haiyeeeee  Haiyee Mama
Haiyeeee haiye mama
Haiyeeee haiye mama

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Karibu Ruvuma (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

FOBY

Tanzania

Frank Ngumbuchi, popularly known as FOBY, is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE