Home Search Countries Albums

Unavimba

MKALI WENU Feat. DACHA

Unavimba Lyrics


Kama unaigiza huwezi chill nasi
Nashangaa unaagiza unatuletea Billnas 
Nazama chumvini mpaka upinza tena mwendo kasi
Na videm vikikatiza navikata bila mkasi 

Napata title bila beka 
Kwenye microphoni nateta
Macho kwenye paper mi nafight kueleweka
Ukitaka money, acha niwagee
Mwambie Vanny, mjini mi na nesa na Mdee

Siko smart kama phoni
Beep kama honi 
Sina mbio ka jogooni 
Pia naswing ka mtoni(Wee)
Nigga nawazoom kwenye mboni
Wenye sumu za mdomoni
Nazuga siwaoni

Hahaha unavimba
Dacha wewe unatamba
Aaah unatamba
Dacha madayo wem unatamba

Wanaokuwa mnachonga basi cool down
Mnakaba sehemu za nyeti mpaka kwenye **
Kitambo kula ukoko kwetu burudani
Natembea kwa ungoko leo Sultan

Sio sio matatizo wala kesi
Usilete izo leta bizness
Ni we na mshiko sio na stress
Mpaka mwisho yatam-bless

Siko smart kama phoni
Beep kama honi 
Sina mbio ka jogooni 
Pia naswing ka mtoni(Wee)
Nigga nawazoom kwenye mboni
Wenye sumu za mdomoni
Nazuga siwaoni

Hahaha unavimba
Dacha wewe unatamba
Aaah unatamba
Dacha madayo wem unatamba

Usipande, ndege kwa mbele ama punda kwa nyuma
Utajikuta kuguna huku uso umenuna
Ni kweli sijakosea najua kinachofuatia
Wanaocheka ukikosea, ndio wanaonuna ukimpatia

Vimba tu maana sio rahisi
Umejitahidi sana, leo umeishi umewini
Na unajua maana ya kufaulu
Na sasa idea za wenzio uzifaidi

Siko smart kama phoni
Beep kama honi 
Sina mbio ka jogooni 
Pia naswing ka mtoni(Wee)
Nigga nawazoom kwenye mboni
Wenye sumu za mdomoni
Nazuga siwaoni

Hahaha unavimba
Dacha wewe unatamba
Aaah unatamba
Dacha madayo wem unatamba

Dacha bwana 
Producer mnoma kuliko wote duniani

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Unavimba (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MKALI WENU

Tanzania

Jackson Supakila aka Mkali Wenu is a Tanzanian actor, comedian, Musician & MC. ...

YOU MAY ALSO LIKE