Home Search Countries Albums

Baharia Lyrics


Mabaharia wote kama tulivyokubaliana 
Kwenye kikao kilichopinga
Hakuna baharia wowote
Anayeruhusiwa kumwambia dem wake ukweli
Dem yeyote lazima aongopewe
Lakini pia hakuna baharia yeyote 
Anaruhusiwa kumpa dem nauli akija ghetto

Tumeelewana mabaharia? Ndio!
(Safi Sana.....)

Mabaharia, kesho nimeitwa ukweni alafu sina kitu
Tunafanyaje? (Dacha)

Ukienda ukweni usiogope kuuma nauli, baharia
Baharia wa kweli anaoga kwa mwezi mara mbili, baharia
Baharia anakopa na kabla hajalipa
Deni anakopa tena, baharia

Ghetto la baharia eeh, halikosi putururu
Hapa vumbi la kungu, pale chuzi la pweza
Ni mamba inatujua eeh, tunavyofanya kufuru
Mara pinda mgongo, chumvini tumeteleza

Hatumi ya kutolea, wala hakatai mimba(Baharia)
Dem wake havalii wiggy, wala hapaki make up(Baharia)
Kisoda wala maji, ni mwendo wa konyagi(Baharia)
Ala laki mbili, anahonga laki tano(Baharia)
Mkita mwenye chura, anakaza hageuki(Baharia)
Akipita kimbaumbau yeye kabisa hashtuki(Baharia)
Mkali joti, naacha snare(Baharia)
Dj choka, idadi lipia(Baharia)

Hahahaha mabaharia wangu wote Tanzania
Manake sahivi wengi wanavaa vigodoro
Hahahaha...

Baharia gani Peter Msechu na ina kitambi
Baharia gani, Baraka Mwana mweusi
Baharia gani, Juma Lokole kuchamba kwingi
Baharia gani, Fid Q una vijulusi

Baharia gani wewe, mwana mapepe
Baharia gani wewe, alafu mwana mweupe
Baharia gani wewe, mbona sikusomi
Baharia tangu lini akatoka kinondoni

Ghetto la baharia eeh, halikosi putururu
Hapa vumbi la kungu, pale chuzi la pweza
Ni mamba inatujua eeh, tunavyofanya kufuru
Mara la pinda mgongo, chumvini tumeteleza

Hatumi ya kutolea, wala hakatai mimba(Baharia)
Dem wake havalii wiggy, wala hapaki make up(Baharia)
Kisoda wala maji, ni mwendo wa konyagi(Baharia)
Ala laki mbili, anahonga laki tano(Baharia)
Mkita mwenye chura, anakaza hageuki(Baharia)
Leta kimbau mbau yeye kabisa hashtuki(Baharia)
Mkali joti, naacha snare(Baharia)
Dj choka, idadi lipia(Baharia)

Wewe, baharia mgani unaamka hata hunuki mdomo
Baharia wa kweli lazima atoke jasho la kwapa
Na kuanzia leo makutano ya baharia yatakuwa ya Buza peke yake
Baharia gani unatumia simu ya tachi

Dacha!

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Baharia (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MKALI WENU

Tanzania

Jackson Supakila aka Mkali Wenu is a Tanzanian actor, comedian, Musician & MC. ...

YOU MAY ALSO LIKE