Home Search Countries Albums

Chuchumaa

MAUA SAMA Feat. NYOSHI EL SAADAT

Chuchumaa Lyrics


Maua Sama mama fololo
Sauti inatoka mawinguni
Nani kama Nyoshi jamani (Hakuna)
Nipe penzi la kikoloni

Oh bwana kwa vituko vyako baba ee
Mi nacheka ee
Wanipa ushau umeshanichota yeah
Nyoshi el Saadat, sauti ya simba

Kaka usimalize maneno
Katafuna videma
Mutu mzima dawa
Watu kama sisi tunajua kutumia fololo

We nigee baba we nigee
We nigee penzi la kizee
We nigee we nigee
We nigee nipe nikule

Tukituka out tinga suti ya chuma
Mkorogo mwana watatukoma
Marashi ya Congo papa Mobimba

Ninachokupendea mapepe hauna
Ukiniita danga we ndo unanichuna
Nikileta changa nipikie dinner

---
--

Nimeshasanda nimekubali 
Siambiliki, sioni eeh
---

Ukinipakata nachezea sharubu
Nami bado nataka 
Mbali ni sulubu

Chuchumaa, chuchumaa (Chuchumaa)
Chuchumaa mama, chuchumaa (Chuchumaa)
Chuchumaa, chuchumaa (Chuchumaa)
Chuchumaa mama, chuchumaa (Chuchumaa)

Hivi twende gwara gwara
Haya twende shaku shaku
Twende malewa, twende sasa malewa

Kata, kata Nyoshi kata
Kata, kata Baba kata

Nipe uno la mzazi
Kama unapanda mnazi
Nataka nimwage radhi
Kitumbua sina nazi
Wape wape, wape baba wape

Chuchumaa, chuchumaa (Chuchumaa)
Chuchumaa mama, chuchumaa (Chuchumaa)
Chuchumaa, chuchumaa (Chuchumaa)
Chuchumaa mama, chuchumaa (Chuchumaa)

New couple in town
New couple yelelele
New couple in town
New couple yelelele

Ale mikono ya juu
Mikono ya juu juu juu
Mikono ya juu
Mikono ya juu

Weka mikono kichwani, mabegani
Kiunoni
Ah mpaka chini, mpaka chini

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Chuchumaa (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MAUA SAMA

Tanzania

MAUA SAMA  is an artist from Tanzania ...

YOU MAY ALSO LIKE