Home Search Countries Albums

Usiwaze

KASSAM Feat. XOUH

Usiwaze Lyrics


(Chipaka on the beat)

Yani hapa navyo ongea
Tayari nishajifia
Ukinitazama kwa makini
Utaona nilivyojiozea

Honey maneno yako ya chekechea
Ndo kabisa yaniuuvaa
Ndomo wako unavyouweka
Mmh bana utaniuwa

Nampango nikukataze kuwaa kimini
Yani mgauni juu mpaka chini
Simu yako nishike mimi
Huo wivu mama sio mimi

Ooh baby acha wivu wako usikakuwa wa mimi
Ushaniweza kwako nipo chini
Eti mgauni juu mpaka chini
Unavituko baby

Moyo wangu unavyokwenda
Acha nifanye yote
Kwa sauti kubusa nakupenda
Na wasikie wote
Moyo wangu unavyokwenda
Acha nifanye yote
Kwa hefuri  kubusa nakupenda
Nijaze vitabu vyote

Naomba baby
Usiwaze kuniacha baby
Usiwaze kuniacha baby
Usiwaze kuniacha baby
Usiwaze kuniacha baby

Wao waongozua na shetwani
Siye twaongozua na mungu
Wacho waturogeroge
Dawa zao hazima nguvu

Tena wala hutubishani
Hatuna muda wa majungu
Siye tupo ndani twaoneshana mautundu

Basi tunendane kweli yanitimie walotabiri
Wewe na mimi hatutofika mbalii

Moyo wangu unavyokwenda
Acha nifanye yote
Kwa sauti kubusa nakupenda
Na wasikie wote
Moyo wangu unavyokwenda
Acha nifanye yote
Kwa hefuri  kubusa nakupenda
Nijaze vitabu vyote

Naomba baby
Usiwaze kuniacha baby
Usiwaze kuniacha baby
Usiwaze kuniacha baby
Usiwaze kuniacha baby

Kuniwacha usiwaze mmmh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2023


Album : Usiwaze (Single)


Copyright : ©?2023 Kassam All rights reserved.


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

KASSAM

Tanzania

Kassam is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE