Home Search Countries Albums

Subira

IBRAAH Feat. SKIIBII

Subira Lyrics


Oh nah nah 
Subira imeniponza, natokota
Kwote kupambana tatu bila
Langu penzi tamu tamu, wameliokota

Eh moyo ukauwacha na malenge lenge
Umeota vidonda eh
Nimefuba hali ni shiwenge
Wivu nakonda

Anipita mbali kama kigege
Aniacha hoi mi mlege lege
Nadharaulika ananiona bwege
Oh inauma

Kama asali nishapokonywa masege
Kaniachiaga homa ya dege dege
Leo mlezi bichi mi wa mla ndege
Hakumbuki nyuma

Tena sikudhubutu
Kumfanya ajutie kunipenda
Niliamini wa milele daima
Daima

Kwake sikuaga zumbukuku
Japo yangu ya kitochi, alimulikiaye 
Anavyoiweka kando inaniuma 
Inaniuma

Eh yangu akili,
Ameichanganya changaya, Ameidanganya
Hakuna tena siri
Ameichanganya, moyo ameugawanya

Ye kumbe alipita kunusa
Ameichanganya
Penzi amelipangusa
Lipangusa aah, aah nalia

(Skibiii)
Baby no - crazy --

Umeniachia kidonda kidonda
Mi mwenzako ninakonda
Kidonda kidonda
Skiibii Mayana nakonda

---
Ma enjoy my money
I go stop by your side 
--

I wish you treat me right
I wish you do me right
I wish you do the right
My heart is beating I love you --

Yangu akili,
Ameichanganya changaya, Ameidanganya
Hakuna tena siri
Ameichanganya, moyo ameugawanya

Ye kumbe alipita kunusa
Ameichanganya
Penzi amelipangusa
Lipangusa aah, aah nalia

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Steps EP/ Subira (EP)


Copyright : (c) 2020 Konde Music Worldwide.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

IBRAAH

Tanzania

IBRAAH real name Ibrahim Abdallah Nampunga (born 3rd July 1998) is an artist, singer, ...

YOU MAY ALSO LIKE