Subira Lyrics
Oh nah nah
Subira imeniponza, natokota
Kwote kupambana tatu bila
Langu penzi tamu tamu, wameliokota
Eh moyo ukauwacha na malenge lenge
Umeota vidonda eh
Nimefuba hali ni shiwenge
Wivu nakonda
Anipita mbali kama kigege
Aniacha hoi mi mlege lege
Nadharaulika ananiona bwege
Oh inauma
Kama asali nishapokonywa masege
Kaniachiaga homa ya dege dege
Leo mlezi bichi mi wa mla ndege
Hakumbuki nyuma
Tena sikudhubutu
Kumfanya ajutie kunipenda
Niliamini wa milele daima
Daima
Kwake sikuaga zumbukuku
Japo yangu ya kitochi, alimulikiaye
Anavyoiweka kando inaniuma
Inaniuma
Eh yangu akili,
Ameichanganya changaya, Ameidanganya
Hakuna tena siri
Ameichanganya, moyo ameugawanya
Ye kumbe alipita kunusa
Ameichanganya
Penzi amelipangusa
Lipangusa aah, aah nalia
(Skibiii)
Baby no - crazy --
Umeniachia kidonda kidonda
Mi mwenzako ninakonda
Kidonda kidonda
Skiibii Mayana nakonda
---
Ma enjoy my money
I go stop by your side
--
I wish you treat me right
I wish you do me right
I wish you do the right
My heart is beating I love you --
Yangu akili,
Ameichanganya changaya, Ameidanganya
Hakuna tena siri
Ameichanganya, moyo ameugawanya
Ye kumbe alipita kunusa
Ameichanganya
Penzi amelipangusa
Lipangusa aah, aah nalia
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Steps EP/ Subira (EP)
Copyright : (c) 2020 Konde Music Worldwide.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
IBRAAH
Tanzania
IBRAAH real name Ibrahim Abdallah Nampunga (born 3rd July 1998) is an artist, singer, ...
YOU MAY ALSO LIKE