Home Search Countries Albums

Ni Wewe

MATTAN

Ni Wewe Lyrics


Kama si wewe mungu nani sasa? Anayeweza nisitiri
Kama si mungu basi ningenyoshwa wangenikabiri
Kwa hiki tu kipaji najionea, wanaleta vita napigania
Hukuniumba mnyonge nikaonewa, nimesimama imara

Ukanipa na mkate, unifae kwa njaa
Ukanipa uvulivu, nivumilie kwa jangwa
Ukanipa na mkate, unifae kwa njaa
Ukanipa uvulivu, nivumilie kwa jangwa

Ni wewe, uliyefanya mimi nikawa mimi
Na milele ni wewe utayefanya nijiamini
Ni wewe, uliyefanya mimi nikawa mimi
Na milele ni wewe utayefanya nijiamini
Ooooh ooooh

Fadhira zako hasabu yake, imezidi hesabu ya mchanga
Kula yangu ni wewe waijua mkombozi nipatapo majanga
Walipo nikimbia watu wakaribu ulinikumbatia
Mimi niliumizwa, nikakomeshwa, ukanifuta machozi
Kuna walio jifanya mungu watu, kwamba bila wao si hakuna kitu
Nawe ukajishihirisha kwao kwamba bila we wao hakuna kitu

Ukanipa na mkate, unifae kwa njaa
Ukanipa uvulivu, nivumilie kwa jangwa
Ukanipa na mkate, unifae kwa njaa
Ukanipa uvulivu, nivumilie kwa jangwa

Ni wewe, uliyefanya mimi nikawa mimi
Na milele ni wewe utayefanya nijiamini
Ni wewe, uliyefanya mimi nikawa mimi
Na milele ni wewe utayefanya nijiamini

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2023


Album : Ni Wewe (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

MATTAN

Tanzania

Mattan is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE