Home Search Countries Albums
Read en Translation

Nazama Lyrics


Mmmh once again

Mmmh naitwa once again

Onaah nananaaah

Mapenzi ya usiku

Sio kama ya mchana

Usiku kigiza flani

Mchana tunaonana

Halafu kipaji anhaa

Amempa maulana

Ananionesha michezo ambayo sijawahi ona

Kwisha kabisa

Mwenzenu ananimaliza

Huu ufundi kapatia wapi

Mbona anapitiliza

Kwisha kabisa

jamani Anamiujiza

Penzi kalichomea ubani

Utamu tu ananipa

Mwenzenu nazama

Mi sijui nifanyeje

Sjui mimi

Sijui nimekuaje

Sijui mimi

Nimekua kama bwegee

Mwenzenu

Naenjoy mwenyewe olaah

Hivi kwanini ukiitwa honey

Unasikia raha mpaka ndani oh

Hadi unatamani uiskie milele maishani

Namaanisha sio utani

Huu upendo umenipa amani

Wengine wanafika mbali

Eti mapenzi majani

Kwisha kabisa

Mwenzenu ananimaliza

Huu ufundi kapatia wapi

Mbona anapitiliza

Kwisha kabisa

jamani Anamiujiza

Penzi kalichomea ubani

Utamu tu ananipa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2025


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

JAY MELODY

Tanzania

  Jay Melody is the young talented afrikan boy raised in the slams of Tandale kwa Mtogole he ...

YOU MAY ALSO LIKE