Home Search Countries Albums

Forever

MATTAN

Forever Lyrics


Maa forever aah, mi nataka niishi na wewe
Maa forever aah, mpaka mwisho wa mimi na we
Maa forever aah, mi nataka niishi na wewe
Maa forever aah, mpaka mwisho wa mimi na we

Kwenye ubindu wa imani 
Wengi wanadumu mili maishani
Napenda unipende kwa imani
Msimamo wa kweli usiojaa fatari

Nitapeleka na kutaka nini unataka
Kwa mama tutafika
Na siku ikifika tufunge ndoa mimi nawe
Siku zote niwe nawe

Ndipo nitasimama, linda penzi liwe na amani
Ndipo nitasimama, penzi lisiingie matata
Ndipo nitasimama, wote beiby tuishi kwa amani 
Ndipo nitasimama

Ndipo nitasimama, linda penzi liwe na amani
Ndipo nitasimama, penzi lisiingie matata
Ndipo nitasimama, wote beiby tuishi kwa amani 
Ndipo nitasimama

Maa forever aah, mi nataka niishi na wewe
Maa forever aah, mpaka mwisho wa mimi na we
Maa forever aah, mi nataka niishi na wewe
Maa forever aah, mpaka mwisho wa mimi na we

Tuishi wote milele
Kwa raha bila kujali kelele zao
Tuwe makini na wale
Kamwe wasije leta ndwele

Nitakupeleka kwa ndugu zangu wa Nyamwanga
Ukapate na ntonga
Na nyumba nitajenga ili uniamini upendo
Toka zamani mi naujenga

Ndipo nitasimama, linda penzi liwe na amani
Ndipo nitasimama, penzi lisiingie matata
Ndipo nitasimama, wote beiby tuishi kwa amani 
Ndipo nitasimama

Ndipo nitasimama, linda penzi liwe na amani
Ndipo nitasimama, penzi lisiingie matata
Ndipo nitasimama, wote beiby tuishi kwa amani 
Ndipo nitasimama

Maa forever, mimi na wewe
Mpaka mwisho wa mimi na we
Na mimi na wee
Thankyou

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Mbona (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MATTAN

Tanzania

Mattan is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE