Lawama Lyrics
(Gerry on the beatz)
Haa haiya, haa haiya
Haa haiya....
Ulisepa mara ya kwanza
Nikakwambia rudi home
Ukataka sepa tena
Nikasema tulia home wewe mmh
Ukasepa mara ya pili
Ukazidi niumiza roho
Nikapiga goti pako
Mama nakuomba urudi
Hautaki, haunitaki tenaa
Haujui kama naumia moyoni
Haujui kama unaniumiza moyoni
Anauliza mama yuko wapi simuoni
Nitamjibu nini mtoto mwanamke
Kuwa na huruma weee
Sitaki lawama, lawama
Lawama, lawama
Sitaki lawama, lawama
Lawamaaa...
Jah Jah, Jah Jah
Jah Jah, Jah Jah
Umenivuruga akili
Umeniacha buba katili
Moyo umeukoroga dhahiri iyee
I’m serious, you laughing
I been real, you acting
Furaha yangu siipati yeah
I’m serious, you laughing
I been real, you acting
Furaha yangu siipati yeah
Baby haujui haujui
Haujui kama naumia moyoni
Haujui kama unaniumiza moyoni
Anauliza mama yuko wapi simuoni?
Nitamjibu nini mtoto mwanamke
Kuwa na huruma weee
Sitaki lawama, lawama
Lawama, lawama
Sitaki lawama, lawama
Lawamaaa...
Jah Jah, Jah Jah
Jah Jah, Jah Jah
I don't wanna see you
With nobody, nobody no
Nobody iyee
I don't wanna see you
With nobody
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Lawama (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
HEMEDY PHD
Tanzania
Hemedy PhD is an artist from Tanzania. He is also an award winning actor. ...
YOU MAY ALSO LIKE