Home Search Countries Albums

Lawama

HEMEDY PHD

Lawama Lyrics


(Gerry on the beatz)
Haa haiya, haa haiya
Haa haiya....

Ulisepa mara ya kwanza 
Nikakwambia rudi home
Ukataka sepa tena 
Nikasema tulia home wewe mmh

Ukasepa mara ya pili 
Ukazidi niumiza roho
Nikapiga goti pako
Mama nakuomba urudi

Hautaki, haunitaki tenaa
Haujui kama naumia moyoni
Haujui kama unaniumiza moyoni
Anauliza mama yuko wapi simuoni
Nitamjibu nini mtoto mwanamke
Kuwa na huruma weee

Sitaki lawama, lawama
Lawama, lawama
Sitaki lawama, lawama
Lawamaaa...

Jah Jah, Jah Jah
Jah Jah, Jah Jah

Umenivuruga akili
Umeniacha buba katili
Moyo umeukoroga dhahiri iyee
I’m serious, you laughing
I been real, you acting
Furaha yangu siipati yeah

I’m serious, you laughing
I been real, you acting
Furaha yangu siipati yeah

Baby haujui haujui
Haujui kama naumia moyoni
Haujui kama unaniumiza moyoni
Anauliza mama yuko wapi simuoni?
Nitamjibu nini mtoto mwanamke
Kuwa na huruma weee

Sitaki lawama, lawama
Lawama, lawama
Sitaki lawama, lawama
Lawamaaa...

Jah Jah, Jah Jah
Jah Jah, Jah Jah

I don't wanna see you
With nobody, nobody no
Nobody iyee
I don't wanna see you
With nobody

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Lawama (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HEMEDY PHD

Tanzania

Hemedy PhD is an artist from Tanzania. He is also an award winning actor. ...

YOU MAY ALSO LIKE